Mara ya kwanza ugenini, visa na vituko

Duuu! Ulitisha mkuu, napata picha yako kama 'mzee wa kukurupuka' wa futuhi
 
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha

mkuu hiki ni kichekesho nimecheka mpaka tumbo linauma aisee

yaani aibu naona mimi
Pamoja sana.
 
You made my day...

Anyway...hata mimi ni mgeni hapa kibaruani.
 
Kufukia sawasawa maana ile mijaruba ya Salawe,Solwa,Didia si mchezo kuilima.
 
haaaah...kiboko kama limekukuta kweli noma ....
 
Ndiyo matatizo ya watu wamjini, huwa wanashani kila mtu anatosheka kipimo chao
 
Kisa umekiandika kwa staili nzuri sana ya kuvutia. Numekipenda hiki kisa cha ugenini.
 
Kisa umekiandika kwa staili nzuri sana ya kuvutia. Numekipenda hiki kisa cha ugenini.
Acha tu mkuu,ile ilikuwa shule tosha.Vijana wetu,watoto wpewe fursa za kutembelea sehemu nyingine ili kujua upande mwingne watu wanavoishi.Kama uwezo upo lakini.
 
hahah! una mambo wewe
Unasound kama yule mjukuu wa bibi nakumbuka alipenda kumwambia dada yake mgeni mwenyewe hana hata pozi ingawaje mwishoni alitokea kunikubali sana na mpaka leo ni mabestee vibaya munoo.
 
Unasound kama yule mjukuu wa bibi nakumbuka alipenda kumwambia dada yake mgeni mwenyewe hana hata pozi ingawaje mwishoni alitokea kunikubali sana na mpaka leo ni mabestee vibaya munoo.

teh! Basi sawa
 
alivyokula hapo ugenini hicho chakula cha watu watatu ndivyo alivyokuwa akila kwao kijijini! kijijini maisha safi sana asikwambie mtu aisee!!

Alikuwa hajastaarabika wala hana "table manners", utaanzaje kula kabla ya wenyeji na wewe ni mgeni? ni punguani tu afanyae hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…