IFRS
JF-Expert Member
- Dec 19, 2014
- 2,904
- 5,168
This is the best comment ever in jf. God bless youHizi CD mnazozinunua zitawadanganya sana kuhusu FREEMASON... wenye freemason yao wanawachekeni sana kwa dharau wakiona ni jinsi gani watu wanakosa akili kufuatilia mambo yasio na msingi.
Natamanigi sana kuwaambia watu kuacha kufuatilia huu ujinga. Hizi ni njama za wazungu kuendelea kuchelewesha maendeleo Africa.
Watataka muendelee kutumia muda wenu kujadili issue zisizo add value na kuwatoa kwenye reli. Matokeo yake siku upo unakata roho unagundua kwamba uelewa ulioutafuta kuhusu kujua freemason haujakusaidia chochote kufanya maisha yako yawe bora na utimize lengo la muumba hapa duniani maana unagundua hakuna cha msingi ulichokijua zaidi ya kujaza ubongo wako na mambo ya kijinga na ukasahau kufanya ambacho kimekuleta duniani --> (kuboresha)
Huu mda unaoutumia ku google kuhusu freemason ama uki google wasanii ambao ni Freemason ungeweza kabisa kutosha kutengeneza wazo la kufungua mgahawa wa juice na vitafunwa kwa huo mshahara wako wa muhindi wa laki tano.
Freemason thing inaweza kuwa ni kweli na mimi nakubali lakini as a person from Tanzania. Does it add any value by just want to know about it?
TUACHE HUU UPUMBAVU ONCE AND FOR ALL
Sent using Jamii Forums mobile app