comred
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 1,867
- 1,602
acheni upotoshaji. unajua hiyo video ni ya mwaka gani? japo imewekwa leo
Wewe ndio useme sasa..
Unamuuliza nani wakati ushaidi uko nao wewe..
Weka vielelezo kuondoa huu upotoshajii
acheni upotoshaji. unajua hiyo video ni ya mwaka gani? japo imewekwa leo
Kumbe ya kitambo?acheni upotoshaji. unajua hiyo video ni ya mwaka gani? japo imewekwa leo
ikiwa hujaelewa kitu bora usicoment. kuna mahali nimekuuliza?Wewe ndio useme sasa..
Unamuuliza nani wakati ushaidi uko nao wewe..
Weka vielelezo kuondoa huu upotoshajii
ilianza stanley kisha bamboo then barick. na acacia ilikuwepo tangu 2015Miaka mitano acacia ilikuwepo?
mwaka 2013 mwanzoni. wananchi (maarufu kqma intruders) walitaka kuvamia kwenye kinu (plant) cha dhahabu. waliuawa mamia ya vijana na wengine hadi leo hii wana ulemavu wa kudumu. ilipelekea hadi polisi kutelekeza majeneza na maiti za watuKumbe ya kitambo?
ukweli ni upi mkuu tafadhali!!acheni upotoshaji. unajua hiyo video ni ya mwaka gani? japo imewekwa leo
sio ubishi mkuu. jiulize habari ya kuvamiwa mgodi usingikuta jf pekee. hata fb ungekuta ndio yenyewe na sasahivi watu wengine wangebadilishwa majinaKuna watu wabishi humu!