soine
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,113
- 2,329
Swali fikirishi tu.
Kiukweli nchi nyingi duniani (ikiwemo nchi yangu nzuri Tanzania) zinapita kwenye wakati mgumu kiuchumi na kisiasa. Wengi wetu tumebaki kulalamika sana hata kujutia maamuzi yetu kwenye sanduku la kura.
Sasa JIULIZE au IMAGINE ingekuwa wewe umepata fursa/nafasi ya kuwa kiongozi wa nchi UNGEFANYA NINI?
Hoja makini zinaweza saidia kuchangia kubadili sera za wenye ndoto ya kutia.
KARIBUNI!
Kiukweli nchi nyingi duniani (ikiwemo nchi yangu nzuri Tanzania) zinapita kwenye wakati mgumu kiuchumi na kisiasa. Wengi wetu tumebaki kulalamika sana hata kujutia maamuzi yetu kwenye sanduku la kura.
Sasa JIULIZE au IMAGINE ingekuwa wewe umepata fursa/nafasi ya kuwa kiongozi wa nchi UNGEFANYA NINI?
Hoja makini zinaweza saidia kuchangia kubadili sera za wenye ndoto ya kutia.
KARIBUNI!