Mara moja ambayo ulitamani ijirudie Tena

Chimunguru

JF-Expert Member
May 3, 2009
10,678
4,350
Wadau usiku huu nipo alone, mamsap kasafiri wiki ya tatu sasa, usingizi shida mno sababu ni mtu wangu wa karibu mnoo kweli nina mmiss vilivyo.
Ukiwa peke yako mawazo na kumbukumbu nyingi zinakujia, nimekumbuka mwaka 1998 nilikuwa naishi na kaka yangu mitaa ya Sinza kwa Remmy, ilikuwa ni nyumba ya kupanga yenye vyumba vinne, na kwa nyuma ya hiyo nyumba kulikuwa na servant quarter ambayo baba mwenye nyumba kaiweka small house yake ambayo inaishi na ndugu zake. Kaka yangu alikuwa bado hajaoa na mie nilikuwa nafanya mitihani ya NBAA so nilikuwa na attend evening classes pale IFM. Likizo moja pale kwa small house ya mzee mwenye nyumba alikuwa msichana mmoja mzuri sana alikuwa kamaliza form four Moshi huko kaja kwa shangazi yake kumtembelea. Mtoto alikuwa bomba bana, tall kidogo halafu yupo slim flani hivi nyuma kajazia na tu hips twa kuibia, ana shingo ndefu km mademu wa ufilipino. ana mdomo mdogo lkn wenye lips flani hivi pana pana km za Naomi campbel!!! Hapo kwa kaka yangu alikwepo na mdogo wangu wa kike na HG so tupo km wanne mle ndani, yule msichana akazoeana na dada yangu ikawa sasa kwa vile kwao hakuna msichana wa rika lake basi anakuja mara nyingi ndani kwetu. Siku zikaenda tukaanza kuzoeana mara anakuja sebuleni ananiulizia ulizia mambo ya IFM, mara anaazima novel mzee nampigia mahesabu lkn kwa vile mimi huwa sipendi kabisa kutongoza wasichana ambao ni marafiki na dada yangu nikawa nampotezea tuu lkn kiroho kinaniuma.

Wakati huo tamthilia ya sunset beach ndo imeshika kasi balaa akaanza kuja kuiangalia saa nne usiku, km bro yupo ataishia jikoni kwa sista. kweli mapenzi ni kikohozi kuyaficha ni ngumu sana, kuna siku nilimwomba sista naomba maji ya kunywa ghafla yeye akaniletea nilishtuka lkn nikajikaza nikanywa nilipomaliza ile nampa kikombe, akaniwekea kikaratasi kwenye mfuko wa shati, dah mwanaume damu ishachemka hapo mapigo ya moyo spidi 200, yeye huyooo akaondoka akaweka kikombe jikoni akaaga mbio kwao. kile kikaratasi kiliandikwa "Mpenzi naomba kesho mchana nije nilale kidogo kitandani kwako" mazeeee nilijiuliza huyu mtoto huwa ananichunguia dirishani nini, maana dirisha la chumba nilipokuwa nalala ndo lipo mbele ya servant quarter! nilipagawa mnoo dah mtoto kajileta mwenyewe! kumbe kesho walipanga na sista waende mjini yeye dakika za mwisho akamwambia sista shangazi yake kamkatalia ruhusa so sista na HG wetu wakaenda kariakoo.

Sista Alipoondoka tu mtoto akaja niko sebuleni, akanivuta mkono twenda basi ukanibembeleze nilale, dah huko room mtoto akavua nguo zote akapanda kitandani akalala kifudifudi eti nimfanyie massage! mtoto mtamu yule! ukinyonya lips zake km sponji lainii. kifuani kabeba embe dodo nikazimeza zoote yaani sasa sita, kwenye kitumbua ndo usiseme yaani kilikuwa kimeumuka balaa, kwa kweli alinipagawisha mnoo nilimpeleka kila style mwishowe akalala fofofo kama saa nzima aliposhtuka wakawa wanamtafuta huko kwao, kaenda wapi huyu, ikabidi fasta nimtoe siku ikawa imekamilika. Tokea hapo sasa, alikuwa anvizia sista yuko jikoni au chumbani kwao anakuja sebuleni akinikuta km tuko wawili mara anikumbatie mara anile denda, haondoki mpaka aitwe kwao. wakati ule sinza maji tunavizia kuanzia saa sita usiku siku nyingine hadi saa tisa basi nakuta vi karatasi tu kavipitishia chini ya mlango, sijui sleep tight, sijui njozi njema. nikimuomba mchezo tena anasema eti kila siku atapata mimba. Two weeks later nikapata safari ya ghafla nikaenda Arusha, huku nyuma akaitwa kwao moshi na wakati ule simu ilikuwa anasa mnooo, tritel na mobitel na ile mishindi yao so no contact, niliporudi nikakuta kuna tetesi pale kwao kwamba wakati sipo alikuwa mnyonge mno na alimuulizia sana dada yangu ntarudi lini so wakawa na wasi wasi huenda nimemtafuna! nilisikitika sana yaani kaondoka bila kupewa tena na hakurudi tena, na mpaka leo hii sijajua aliishia wapi! Mdau wewe je tupe story au experience tamu tamu za dizaini hii!
 
Ahaa haa zipo hizo sana mpaka unathamani kwenda kuzunguka kuulizia lakini wapi utomuona tena!

Pole sana sasa hivi mkumbukie tu wife wako maana huyo ukimwona hafanai tena kama hivyo unavyoelezea unaweza kumwona ukalia au ukaulizia ukaambiwa alishakufa longtime.

Hapo Sinza niliwai kula mtoto form II miaka ya 1996 kitu ilikuwa haijawai kuliwa brand new, alikuwa matata sana sikuwai kumwona tena ila kila nikumkumbuka akili yangu ilidanganyika na picha ile ile ya ya miaka hiyo, siku moja nikaamua kumsaka zunguka hadi kumpata mama yake mdogo uzuri kule, akanipa namba ya simu nikapiga nikajieleza akanikumbuka alivyokuja hamu yote ilikwisha maana alikuwa kisha zeeka na kukongoroka kabisa, kuanzia hapo ndipo nilipoteza ile picha niliyokuwa nayo kichwani maana kabla ya kumuona nilikuwa nakumbuka ile picha ya form II unakula kwa kuiba tight mpya!
 
Chimunguru, ukishaapa kwa Mungu na kula kiapo, baaasi there's no going back. Hayo ni majaribu, na ulitakiwa imwaze mkeo na sio huyo mpita njia. Unatakiwa umfikirie mkeo tu na sio uliopata kuwa nao. Kumbuka, wazo huzaa tendo, chondechote usijeingia tamaa ya kumfuatilia na kukumbushia ukajiletea matatizo buree
 
Chimunguru, ukishaapa kwa Mungu na kula kiapo, baaasi there's no going back. Hayo ni majaribu, na ulitakiwa imwaze mkeo na sio huyo mpita njia. Unatakiwa umfikirie mkeo tu na sio uliopata kuwa nao. Kumbuka, wazo huzaa tendo, chondechote usijeingia tamaa ya kumfuatilia na kukumbushia ukajiletea matatizo buree

Mkuu Sherrif heshima kwako, lengo si kumtafuta yuko wapi hapana lengo ni ku share tu story hapa jamvini na kuepuka kuulizwa swali kwamba yupo wapi sasa hivi, nimemalizia ya kwamba sijajua ila sifanyi jitihada za kumtafuta sababu wife ni zaidi ya mara mia ya huyooooo!!
 
tekinologia imesaidia sana siku hizi, wakati huo wakutegemea barua pekee ilikuwa ni kupeana matumaini tu kuwa 'milima haikutani ila binadamu hukutana'
 
nakuhurumia chimunguru, nahisi mkeo nae huko aliko anajikumbushia yule wa zamani. badala ya kuhadithia stori iliyobadili maisha yako na kukufanya uhsehimike kwenye jamii kama mume wa mtu, unaongelea ulikopitia!
 
dah mkuu leo umenipa raha sana....ukijumlisha na ile story ya Naomi arusha dah ......umenikumbusha enzi za ujana wangu....
 
good story...good memory. serves us better to remain in memory. reminds of fauzia mitaa ya kibaha sometime mid 80s. tulikuwa pale michezoni (umiseta). I had a crush on her and we happened to be so close. she was so beautiful and so charming. it was always fantastic talking to her and he has the best dimples I have ever seen in life. We happened to kiss one day. she was so sweet...sweetest kiss i think i have ever felt in life. ans she was so soft...so ladyish. unfortunately i never crossed past the kiss and i couldnt imagine angekuwaje kwingine....will never know...
 
Tokea uwe mama naona JF imekuwa kwa kudonoa donoa tu! Mama na mwana hawajambo lakini?

............. we acha my dear, muda mwingi natumia kucheza na my baby.Maana kuwa mama ni full time job.......siye wazima kabisa.
 
good story...good memory. serves us better to remain in memory. reminds of fauzia mitaa ya kibaha sometime mid 80s. tulikuwa pale michezoni (umiseta). I had a crush on her and we happened to be so close. she was so beautiful and so charming. it was always fantastic talking to her and he has the best dimples I have ever seen in life. We happened to kiss one day. she was so sweet...sweetest kiss i think i have ever felt in life. ans she was so soft...so ladyish. unfortunately i never crossed past the kiss and i couldnt imagine angekuwaje kwingine....will never know...
Ndo nini Mkuu kutufanyia hivi lakini? Kichwa kiswahili mwili kizungu!! Unatunyasanyasa wengine. Sijaambua hata chembe hapo...!!
 
nakuhurumia chimunguru, nahisi mkeo nae huko aliko anajikumbushia yule wa zamani. badala ya kuhadithia stori iliyobadili maisha yako na kukufanya uhsehimike kwenye jamii kama mume wa mtu, unaongelea ulikopitia!
kin'gasti una visa
 
chimunguru umepitia kwingi,kila unaempitia unamkumbuka wewe.mara naomi wa arusha,na mwengine wa dar.sijui mwengine atakuwa yupi.jee ulikuwa una bahati ya kupendwa au vipi?
 
chimunguru umepitia kwingi,kila unaempitia unamkumbuka wewe.mara naomi wa arusha,na mwengine wa dar.sijui mwengine atakuwa yupi.jee ulikuwa una bahati ya kupendwa au vipi?
hahaaa tehe kisukari hata wewe ukiweka listi hapa jf yaweza kuwa ndefu tu. ukiwa mtundu utapendwa saana tuu
 
Back
Top Bottom