Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
Wadau usiku huu nipo alone, mamsap kasafiri wiki ya tatu sasa, usingizi shida mno sababu ni mtu wangu wa karibu mnoo kweli nina mmiss vilivyo.
Ukiwa peke yako mawazo na kumbukumbu nyingi zinakujia, nimekumbuka mwaka 1998 nilikuwa naishi na kaka yangu mitaa ya Sinza kwa Remmy, ilikuwa ni nyumba ya kupanga yenye vyumba vinne, na kwa nyuma ya hiyo nyumba kulikuwa na servant quarter ambayo baba mwenye nyumba kaiweka small house yake ambayo inaishi na ndugu zake. Kaka yangu alikuwa bado hajaoa na mie nilikuwa nafanya mitihani ya NBAA so nilikuwa na attend evening classes pale IFM. Likizo moja pale kwa small house ya mzee mwenye nyumba alikuwa msichana mmoja mzuri sana alikuwa kamaliza form four Moshi huko kaja kwa shangazi yake kumtembelea. Mtoto alikuwa bomba bana, tall kidogo halafu yupo slim flani hivi nyuma kajazia na tu hips twa kuibia, ana shingo ndefu km mademu wa ufilipino. ana mdomo mdogo lkn wenye lips flani hivi pana pana km za Naomi campbel!!! Hapo kwa kaka yangu alikwepo na mdogo wangu wa kike na HG so tupo km wanne mle ndani, yule msichana akazoeana na dada yangu ikawa sasa kwa vile kwao hakuna msichana wa rika lake basi anakuja mara nyingi ndani kwetu. Siku zikaenda tukaanza kuzoeana mara anakuja sebuleni ananiulizia ulizia mambo ya IFM, mara anaazima novel mzee nampigia mahesabu lkn kwa vile mimi huwa sipendi kabisa kutongoza wasichana ambao ni marafiki na dada yangu nikawa nampotezea tuu lkn kiroho kinaniuma.
Wakati huo tamthilia ya sunset beach ndo imeshika kasi balaa akaanza kuja kuiangalia saa nne usiku, km bro yupo ataishia jikoni kwa sista. kweli mapenzi ni kikohozi kuyaficha ni ngumu sana, kuna siku nilimwomba sista naomba maji ya kunywa ghafla yeye akaniletea nilishtuka lkn nikajikaza nikanywa nilipomaliza ile nampa kikombe, akaniwekea kikaratasi kwenye mfuko wa shati, dah mwanaume damu ishachemka hapo mapigo ya moyo spidi 200, yeye huyooo akaondoka akaweka kikombe jikoni akaaga mbio kwao. kile kikaratasi kiliandikwa "Mpenzi naomba kesho mchana nije nilale kidogo kitandani kwako" mazeeee nilijiuliza huyu mtoto huwa ananichunguia dirishani nini, maana dirisha la chumba nilipokuwa nalala ndo lipo mbele ya servant quarter! nilipagawa mnoo dah mtoto kajileta mwenyewe! kumbe kesho walipanga na sista waende mjini yeye dakika za mwisho akamwambia sista shangazi yake kamkatalia ruhusa so sista na HG wetu wakaenda kariakoo.
Sista Alipoondoka tu mtoto akaja niko sebuleni, akanivuta mkono twenda basi ukanibembeleze nilale, dah huko room mtoto akavua nguo zote akapanda kitandani akalala kifudifudi eti nimfanyie massage! mtoto mtamu yule! ukinyonya lips zake km sponji lainii. kifuani kabeba embe dodo nikazimeza zoote yaani sasa sita, kwenye kitumbua ndo usiseme yaani kilikuwa kimeumuka balaa, kwa kweli alinipagawisha mnoo nilimpeleka kila style mwishowe akalala fofofo kama saa nzima aliposhtuka wakawa wanamtafuta huko kwao, kaenda wapi huyu, ikabidi fasta nimtoe siku ikawa imekamilika. Tokea hapo sasa, alikuwa anvizia sista yuko jikoni au chumbani kwao anakuja sebuleni akinikuta km tuko wawili mara anikumbatie mara anile denda, haondoki mpaka aitwe kwao. wakati ule sinza maji tunavizia kuanzia saa sita usiku siku nyingine hadi saa tisa basi nakuta vi karatasi tu kavipitishia chini ya mlango, sijui sleep tight, sijui njozi njema. nikimuomba mchezo tena anasema eti kila siku atapata mimba. Two weeks later nikapata safari ya ghafla nikaenda Arusha, huku nyuma akaitwa kwao moshi na wakati ule simu ilikuwa anasa mnooo, tritel na mobitel na ile mishindi yao so no contact, niliporudi nikakuta kuna tetesi pale kwao kwamba wakati sipo alikuwa mnyonge mno na alimuulizia sana dada yangu ntarudi lini so wakawa na wasi wasi huenda nimemtafuna! nilisikitika sana yaani kaondoka bila kupewa tena na hakurudi tena, na mpaka leo hii sijajua aliishia wapi! Mdau wewe je tupe story au experience tamu tamu za dizaini hii!
Ukiwa peke yako mawazo na kumbukumbu nyingi zinakujia, nimekumbuka mwaka 1998 nilikuwa naishi na kaka yangu mitaa ya Sinza kwa Remmy, ilikuwa ni nyumba ya kupanga yenye vyumba vinne, na kwa nyuma ya hiyo nyumba kulikuwa na servant quarter ambayo baba mwenye nyumba kaiweka small house yake ambayo inaishi na ndugu zake. Kaka yangu alikuwa bado hajaoa na mie nilikuwa nafanya mitihani ya NBAA so nilikuwa na attend evening classes pale IFM. Likizo moja pale kwa small house ya mzee mwenye nyumba alikuwa msichana mmoja mzuri sana alikuwa kamaliza form four Moshi huko kaja kwa shangazi yake kumtembelea. Mtoto alikuwa bomba bana, tall kidogo halafu yupo slim flani hivi nyuma kajazia na tu hips twa kuibia, ana shingo ndefu km mademu wa ufilipino. ana mdomo mdogo lkn wenye lips flani hivi pana pana km za Naomi campbel!!! Hapo kwa kaka yangu alikwepo na mdogo wangu wa kike na HG so tupo km wanne mle ndani, yule msichana akazoeana na dada yangu ikawa sasa kwa vile kwao hakuna msichana wa rika lake basi anakuja mara nyingi ndani kwetu. Siku zikaenda tukaanza kuzoeana mara anakuja sebuleni ananiulizia ulizia mambo ya IFM, mara anaazima novel mzee nampigia mahesabu lkn kwa vile mimi huwa sipendi kabisa kutongoza wasichana ambao ni marafiki na dada yangu nikawa nampotezea tuu lkn kiroho kinaniuma.
Wakati huo tamthilia ya sunset beach ndo imeshika kasi balaa akaanza kuja kuiangalia saa nne usiku, km bro yupo ataishia jikoni kwa sista. kweli mapenzi ni kikohozi kuyaficha ni ngumu sana, kuna siku nilimwomba sista naomba maji ya kunywa ghafla yeye akaniletea nilishtuka lkn nikajikaza nikanywa nilipomaliza ile nampa kikombe, akaniwekea kikaratasi kwenye mfuko wa shati, dah mwanaume damu ishachemka hapo mapigo ya moyo spidi 200, yeye huyooo akaondoka akaweka kikombe jikoni akaaga mbio kwao. kile kikaratasi kiliandikwa "Mpenzi naomba kesho mchana nije nilale kidogo kitandani kwako" mazeeee nilijiuliza huyu mtoto huwa ananichunguia dirishani nini, maana dirisha la chumba nilipokuwa nalala ndo lipo mbele ya servant quarter! nilipagawa mnoo dah mtoto kajileta mwenyewe! kumbe kesho walipanga na sista waende mjini yeye dakika za mwisho akamwambia sista shangazi yake kamkatalia ruhusa so sista na HG wetu wakaenda kariakoo.
Sista Alipoondoka tu mtoto akaja niko sebuleni, akanivuta mkono twenda basi ukanibembeleze nilale, dah huko room mtoto akavua nguo zote akapanda kitandani akalala kifudifudi eti nimfanyie massage! mtoto mtamu yule! ukinyonya lips zake km sponji lainii. kifuani kabeba embe dodo nikazimeza zoote yaani sasa sita, kwenye kitumbua ndo usiseme yaani kilikuwa kimeumuka balaa, kwa kweli alinipagawisha mnoo nilimpeleka kila style mwishowe akalala fofofo kama saa nzima aliposhtuka wakawa wanamtafuta huko kwao, kaenda wapi huyu, ikabidi fasta nimtoe siku ikawa imekamilika. Tokea hapo sasa, alikuwa anvizia sista yuko jikoni au chumbani kwao anakuja sebuleni akinikuta km tuko wawili mara anikumbatie mara anile denda, haondoki mpaka aitwe kwao. wakati ule sinza maji tunavizia kuanzia saa sita usiku siku nyingine hadi saa tisa basi nakuta vi karatasi tu kavipitishia chini ya mlango, sijui sleep tight, sijui njozi njema. nikimuomba mchezo tena anasema eti kila siku atapata mimba. Two weeks later nikapata safari ya ghafla nikaenda Arusha, huku nyuma akaitwa kwao moshi na wakati ule simu ilikuwa anasa mnooo, tritel na mobitel na ile mishindi yao so no contact, niliporudi nikakuta kuna tetesi pale kwao kwamba wakati sipo alikuwa mnyonge mno na alimuulizia sana dada yangu ntarudi lini so wakawa na wasi wasi huenda nimemtafuna! nilisikitika sana yaani kaondoka bila kupewa tena na hakurudi tena, na mpaka leo hii sijajua aliishia wapi! Mdau wewe je tupe story au experience tamu tamu za dizaini hii!