Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
WanaJF,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Matukio kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Urais, Ubunge na Udiwani 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Mara. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
MUHTASARI WA MAENEO YA UTAWALA, MKOA WA MARA
Katika muhtasari wa maeneo ya utawala, mkoa huu una halmashauri ambazo zimegawanyika katika mamlaka za miji na wilaya.
Idadi ya Watu
Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya watu katika Mkoa wa Mara ni 2,372,015; wanaume 1,139,511 na wanawake 1,232,504, yenye jumla ya wilaya 7.
Idadi ya Majimbo ya Uchaguzi
Mkoa wa Mara una jumla ya Majimbo ya uchaguzi Kumi
- Jimbo la Musoma Mjini
- Jimbo la Musoma Vijijini
- Jimbo la Rorya
- Jimbo la Butiama
- Jimbo la Bunda Mjini
- Jimbo la Bunda
- Jimbo la Serengeti
- Jimbo la Tarime Mjini
- Jimbo la Tarime Vijijini
- Jimbo la Mwibara
Hayati John Magufuli kupitia CCM alipata kura nyingi, akishinda kwa zaidi ya asilimia 80.
Katika Ubunge, CCM ilifanikiwa kushinda majimbo yote, huku CHADEMA ikipoteza baadhi ya ngome zake muhimu kama jimbo la Tarime Mjini, Tarime Vijijini, Bunda
Kwa upande wa udiwani, CCM pia ilishinda kata nyingi, na kufanya mkoa wa Mara kuongozwa zaidi na chama tawala kwenye ngazi zote za kisiasa.
Kama ilivyo kwa udiwani sehemu kubwa nchini, pia kwa mkoa wa Mara Vyama vya Upinzani vilipata changamoto za wagombea wao kuenguliwa kutokana na matatizo ya kisheria au kutokidhi vigezo
Updates
January
- Kuelekea 2025 CHADEMA Mara: Mbowe akikataa ushauri tutakutana kwenye Sanduku la Kura, waenda na Lissu na Heche
- Pre GE2025 - PICHA: Sikuwahi kufikiria kama Mzee Wassira anapendwa na Wananchi kiasi hiki
- Pre GE2025 - Wasira: Uchaguzi wa CHADEMA, viongozi wa kitaifa waligawana fito
- Pre GE2025 - Wasira: Watanzania hawana sababu ya kuichagua CHADEMA
- Pre GE2025 - Wasira: CHADEMA wakitaka kufanya fujo wanachukua vijana kutoka Tarime
- Pre GE2025 - Mwenyekiti CHADEMA, Mara Heche: Wasira aachane na vijana, afanye mambo ya umri wake
- Pre GE2025 - John Heche: Wabunge wamegeuka machawa wa Rais. Wanalipwa Milioni 18 kwa mwezi, kwa siku Laki 6 ambazo ni Kodi zenu!
- Pre GE2025 - Heche: Wasira ana haki ya kusinzia, tusimlaumu. Asema CCM inarejesha Viongozi waliochoka
- Pre GE2025 - John Heche: Tupo tayari kufa kulinda msimamo wa CHADEMA na maslahi ya Wananchi, Rais wa Tanzania amegeuka kuwa Mungu
- Pre GE2025 - Chacha Heche: CHADEMA hakuna vibaka wala sio kweli chama hicho kilikuwa kinachukua vijana kutoka Tarime na kwenda kuwatumia kufanya fujo
- Pre GE2025 - John Heche: Dkt. Slaa akifia Gerezani, Rais Samia atawaambia nini Wananchi? Uonevu ni kitu kibaya
- Pre GE2025 - Mwita Waitara: John Heche ni mwanafunzi wangu kisiasa, hawezi nitisha uchaguzi Tarime
- Pre GE2025 - Wakili Dickson Matata: Kauli za RC Chalamila ni zao la uongozi mbovu
- Pre GE2025 - Mwenyekiti wa CCM Mara awa kituko mbele ya wananchi kwenye mkutano wa hadhara. Asema kama amnifurahishi na wateteaje
- Pre GE2025 - Waziri mkuu: Mpango wetu CCM ni kuhakikisha wagombea wetu watakapopita kwenye maeneo yetu wasipate kazi kubwa kueleza miradi ya maendeleo
- Pre GE2025 - Mbunge wa Rorya, Jafari Chege amewawetaka wananchi wa Kata hizo kutambua dira ya maendeleo tangu walipokuwa, walipo sasa na wanakoelekea
- Pre GE2025 - Pambalu: Tuachane na Wasira tupambane na Samia
- Pre GE2025 - RC Mara aagiza kusakwa kwa Mbunge wa Mwibara, adai ni mtoro hajawahi kumuona
- Pre GE2025 - Mbunge wa Rorya Jafari Chege akamalisha madarasa yaliojengwa kwa nguvu za wananchi
- Pre GE2025 - Mara: Jimbo la uchaguzi Serengeti kugawanywa kuwa majimbo mawili, Serengeti Mashariki na Serengeti magharibi
- Pre GE2025 - Mwenyekiti UVCCM Mara awataka vijana kusaidia kuzuia wizi wa mifugo Rorya
- Pre GE2025 - Wahitimu wa mafunzo ya udereva wa Pikipiki na Bajaji waliolipiwa ada na Mbunge Sagini wakabidhiwa vyeti VETA
- Pre GE2025 - Viongozi wa Dini waomba kwa Rais Samia kuwa na uwakilishi Bungeni kulingana na Madhehebu Yao. Mimi napinga Wazo hilo
- Pre GE2025 - Askofu wa Anglikana aomba viongozi wa dini kuwa na mwakilishi bungeni
- Pre GE2025 - CHADEMA Mara yawasilisha ripoti ya vifo na upotevu kwa Kanisa Katoliki
- Pre GE2025 - Mary Joseph: Kuwa CCM siyo kigezo cha kuvunja sheria
- Pre GE2025 - CHADEMA waipeleka 'No Reform, No Election' nyumbani kwa baba wa taifa
- Pre GE2025 - Kamati ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo yaridhia kufungwa shughuli za uvuvi Ziwa Tanganyika
- Pre GE2025 - Mwita Waitara aliyewahi kububujikwa na machozi bungeni asema Ushindi upo, CCM imepata kibali kutoka kwa Mungu
- Pre GE2025 - Balozi Nchimbi: Tusivurugwe miezi michache kuelekea uchaguzi mkuu
- Pre GE2025 - Balozi Nchimbi aelekeza wizara ya maji iweke msukumo mradi wa Tarime - Rorya
- Pre GE2025 - Nchimbi: Watia nia CCM tambueni uchaguzi siyo vita
- Pre GE2025 - Tazama Msanii asiyeona alipoimba wimbo wa papo kwa papo kuhusu uchaguzi
- Pre GE2025 - Othman Masoud Othman: Inakuwaje Polisi waongozwe na Mkuu wa Mkoa au Mkuu wa Wilaya ambaye ameelezwa wajibu wake ni kuhakikisha CCM inashinda?
- Pre GE2025 - Mwenyekiti wa ACT Wazalendo awashangaa wabunge wanaomshambulia Martha Karua
- Pre GE2025 - Mwenyekiti CCM Tarime ataka Martha Karua apitishwe Sirari ili wampe mimba sababu wanaume wa Kenya wameshindwa kazi
- Pre GE2025 - Profesa Muhongo Ang'ara Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 Jimbo la Musoma Vijijini
- Pre GE2025 - Othman Masoud Othman: Inakuwaje Polisi waongozwe na Mkuu wa Mkoa au Mkuu wa Wilaya ambaye ameelezwa wajibu wake ni kuhakikisha CCM inashinda?
- Pre GE2025 - Mwenyekiti wa ACT Wazalendo awashangaa wabunge wanaomshambulia Martha Karua
- Pre GE2025 - Kikwete: Uchaguzi usiwe chanzo cha kuhatarisha amani ya nchi yetu
- Pre GE2025 - John Mrema: CHADEMA 'imeuzwa' ndiyo maana tumeondoka
- Pre GE2025 - Butiama: Mbunge Sagini achinja ng'ombe 500 kutoka uturuki na kugawia wananchi sikukuu ya ‘Eid al-Adha’
- Pre GE2025 - Ester Bulaya aliyekuwa CHADEMA atimkia CCM, achukua fomu ya Ubunge Bunda Mjini
- Pre GE2025 - Kambarage Wasira achukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea ubunge Bunda Mjini
- Pre GE2025 - Janeth Mtiba achukua fomu ubunge Tarime Mjini
- Pre GE2025 - Engineer Kambarage Wasira amechukua form ya ubunge jimbo la Bunda Mjini
- GE2025 - Magembe Noni ajitosa Ubunge Jimbo la Geita Mjini
- GE2025 - John Heche: CCM wamefuta Mikutano yetu kinyume na Haki kupitia Vyombo vya Dola
- GE2025 - Mara: Wananchi Mwibara wamchoka mbunge anayemaliza muda wake, waomba kupatiwa mgombea mpya
- GE2025 - Serikali ya awamu ya sita imetoa Bilioni 5.7 ujenzi wa shule mbili Mkoani Mara
- GE2025 - CHAUMMA yapata watia nia Majimbo yote Mkoa wa Mara
- GE2025 - Catherine Ruge: Nimesikia sauti ya Mungu, nitagombea Serengeti
- GE2025 - Watia nia wa CCM wanaswa live wakigawa vitenge na fedha kwa wajumbe
- GE2025 - Esther Matiko atinga mbele za wajumbe kuwashawishi wampitishe kuwa mgombea wa ubunge Tarime mjini
- GE2025 - Msaidizi wa mbunge mstaafu akamatwa na TAKUKURU Tarime
- GE2025 - RC Kanali Evans Alfred: Bajeti ya Ujenzi Mkoa wa Mara imeongezeka kutoka TZS7bn mwaka 2020 hadi TZS245bn, bajeti ya TARURA imeongezeka mara 4
- GE2025 - Wasira: Badala ya kulalamika fanyeni kazi muwe kama Samia
- GE2025 - Wanatuletea mtu ambaye hatukumchagua, maana ya kura za maoni ni nini?
- GE2025 - Butiama: Wanachama wa CCM walalamikia kuenguliwa kwa jina la Mgombea udiwani aliyeshinda kura za maoni
- GE2025 - Mgombea urais CHAUMMA amnadi mgombea udiwani ACT Wazalendo
- GE2025 - Viongozi na Wagombea Chama cha ADC wafanyiwa Tambiko, Mara
- GE2025 - Mgombea Ubunge CCM Serengeti Aomba Rais Ajenge Uwanja wa Ndege na Barabara za Lami
- GE2025 - Musiba: Nina uhakika wa kushinda kwa asilimia 87 hadi 90 ubunge Jimbo la Mwibara
- GE2025 - Esther Bulaya: Nataka nisimamie Ujenzi barabara 25KM, Stendi na Soko la kisasa yenye hadhi ya Mji wa Bunda
- GE2025 - Chege: Oktoba 29, 2025 msiende Ziwani kuvua Samaki, mkapige Kura. Mkinipa diwani kutoka ACT ni kama mmenifukuza
- GE2025 - Wasira: Samia usibabaishwe na chokochoko za wachache Mtandaoni
- GE2025 - Samia: Msiwape Kura wapinzani watawapoteza, Ukimpa Jimbo asiye CCM anaenda kuongea na nani? anaenda kumwomba barabara nani?
- GE2025 - Samia: Pato la wavuvi limefikia Bilioni 38.400 kutoka bilioni 9.400
- GE2025 - Samia: Uendeshaji wa nchi, hakuna majaribio, CCM ndio yenye uzoefu
- GE2025 - CCM waogopa hadi bendera! Mwenyekiti wa CCM aagiza bendera za CHADEMA zishushwe wakati wa ziara ya kampeni ya Samia
- GE2025 - Aliyekuwa mgombea wa ACT Wazalendo, Jackson Kangoye, ajiunga na CCM wakati wa kampeni za Samia
- GE2025 - Makonda: Mara sio ya mauaji, sio ya kukatana Mapanga, wakiwaambia msiende kupiga wajibuni hivi
- GE2025 - Samia: Hakuna majaribio ya kuiongoza nchi msidanganyike, mkiwapa wengine Serikali watawapoteza
- GE2025 - Wilson Mahera: Samia ametimiza maono ya Mwalimu Nyerere, Butiama
- GE2025 - Samia: Tutaendeleza mchakato wa Katiba Mpya kama ilivyo katika ilani yetu ya CCM
- GE2025 - Chifu Wanzagi: Tumeridhishwa na uchapakazi wa Rais Samia
- GE2025 - Rais Samia aweka shada la maua kwenye kaburi la Mwalimu Nyerere
- GE2025 - Andrew Nyerere anadai kufungiwa ndani wakati wa kampeni za Samia huko Butiama
- GE2025 - Samia: Tunajenga uwanja wa ndege Serengeti kukuza utalii
- GE2025 - Samia asisitiza katiba mpya itakamilika awamu ya sita
- GE2025 - Judith Kasian: Mimi ningewaasa vijana wasidanganyike, wakidanganyika tutaenda pabaya
- GE2025 - Mwalimu Nyerere hakutaka siasa za matusi
- GE2025 - Esther Matiko: Mimi ni CCM hata kwenye majukwaa sijawahi kusema neno ‘CHADEMA’
- GE2025 - Mawakala 27 wa mgombea udiwani wa ACT Wazalendo wakwama kuapishwa
- GE2025 - Catherine Ruge: Nimekuwa nikifanyiwa vurugu kwenye kampeni zangu, Polisi hawatoi ushirikiano ipasavyo
Kamati Kuu CCM yatangaza rasmi majina ya watia nia Ubunge 2025
- MKOA WA MARA
(i) JIMBO LA BUNDA
1. Boniphace Mwita Getere
2. Lazaro William KANDORE
3. Daud Rukiko MAYEJI
4. Aloyce Msafiri MUSIKA
5. Sulusi John NYIKERA
6. Moses Wambura RYAKITIMBO
(ii) JIMBO LA BUNDA MJINI
1. Kambarage Masato WASIRA
2. Ester Amos BULAYA
3. Robert Chacha MABOTO
4. Joseph Daud BULUBA
5. Exavery Mfungo RUGINA
(iii) JIMBO LA MWIBARA
1. Charles Mugata KAJEGE
2. Kangi Alphonce LUGOLA
3. Wilson Maregesi MUKAMA
4. Mbuke Makanyaga MAJULA
5. Idd Mabala YAZID
6. Emmanuel Makalle BUSANYA
(iv) JIMBO LA BUTIAMA
1. Jumanne Abdallah SAGINI
2. Baraka Tyery MANYI
3. Dr. Wilson Mahera CHARLES
4. Manyerere Jackton NYERERE
5. Frank Magesa MAHEMBA
(v) Jimbo la Musoma Mjini
1. Mgore Miraji KIGERA
2. Dr. Eliud ESSEKO (Mkorea)
3. Juma Mokili JUMA
4. John Kyabwene BWANA
5. Philbert Korogo SASITA
6. Mashaka Nelson BISWALO
(vi) Jimbo la Musoma Vijijini
1. Prof. Sospeter Mwijarubi MUHONGO
2. Kenedy Gerson CHIGURU
3. Daud Zakayo MAJINGE
4. Aspernas Magina MTARANGA
5. Evarist Pascal MAGANGA
6. Dr. Mbeba BENJAMINI
7. Bernard Ibrahimu MERUMBA
(vii) Jimbo la Rorya
1. Jafari Wambura CHEGE
2. Sango Issaya Gungu KASERA
3. Nyihita Wilfred NYIHITA
4. Peter Leonard SARUNGI
5. Nchama Clifford WAMBURA
(viii) Jimbo la Serengeti
1. Dr. Amsabi Jerermiah MRIMI
2. Mery Daniel JOSEPH
3. Michael Peter MAHENDE
4. Paulo Kingímbe CHACHA
5. Deogratias Bernard CHACHA
6. Dr. Stephen Kebwe KEBWE
(ix) Jimbo la Tarime Vijijini
1. Mwita Mwikwabe Mwikwabe WAITARA
2. Nyambari Chacha NYANGWINE
3. Simon Kemor CHACHA
4. Deodatus WAIKAMA
5. Edward Mgelea MACHAGE
(x) Tarime Mjini
1. Jackson Ryoba KANGOYE
2. Michael Mwita KEMBAKI
3. Esther Nicholas MATIKO
4. Said Kisyer CHAMBIRI
5. Robert Mkirya CHACHA
6. Mussa Ryoba DEUS
7. Machare Heche SUGUTA