Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 20,558
- 41,321
Ni mambo ya shule hayo brother diplomasia naona mmekutana mnakubaliana vitu msivyovijua sipo upande wa Mama ila mnashangaza eti Balozi akiandika barua ya kuacha kazi basi ndio imetoka hiyo yaani wateuzi wake hawatakiwi kufanya kitu aisee na wewe ni msomi kabisaa unaandika hivyo sasa ndugu zetu tuliowaacha Namtumbo huko itakuaje?Hizo itifaki zimeandikwa wapi?
Mkuu, maamuzi na maono ya Mfalme Mangungo ndiyo alama kubwa na ya kipekee ya utawala huu wa kidwanzi wa CCM.Nadhani hii serikali inayojiita ya awamu ya sita ina mambo yake ya kipekee sana!
Kwangu, hii serikali, ndo serikali pekee ninayoweza kusema inaongozwa kwa kutumia akili ndogo sana.
Kuanzia juu, katikati, mpaka chini, viwango vya akili vya watendaji wake ni vya chini mno.
Na mifano yake ni mingi sana.
Mtu unaweza kuonyesha mfano wa yule msemaji wa jeshi aliyedai kuwa jeshi la Tanzania ni jeshi la sita kwa ubora duniani, madai ambayo kichekesho.
Mwingine anaweza kuonyesha kauli ya Rais aliposema kuwa Tanzania kiuchumi inafanya vizuri kuliko Marekani. Hii ni zaidi ya kichekesho. Ni kituko cha mwaka.
Tuje kwenye siku ya jana ambapo Rais alipotengua uteuzi wa balozi ambaye alishaacha kazi 🤣.
Labda ni mimi tu ndo ambaye sielewi. Labda ni ukilaza wangu tu.
Hivi inawezekanaje kumfukuza mtu kazi ambayo alishaiacha kitambo? Ni mtindo wa wapi huu?
Ni wapi hapa duaniani ambapo serikali hufukuza watu kazi ambao walishaacha kufanya kazi kwa hiari yao wenyewe?
Sijui nyie wenzangu mnaionaje hii serikali, lakini kwangu mimi naiona ni serikali iliyofilisika kabisa kiakili na kimaarifa.
Tukio la jana la Rais kutengua uteuzi wa Humphrey Polepole, lawezekana likawa ni tukio la kihistoria duniani kote.
Hata Idi Amin sidhani kama aliwahi kufanya hivyo 🤣.
Akili ya kiuongozi ya Chura Kiziwi haitofautiani sana na ya Donald Trump. Wote wanathamini sana machawa!
Wewe unamuona Trump ni kiongozi wa maana sana? Trump ni bonge la idiot!Acha kumlinganisha Trump na vitu vya ajabu.
Mambo ya shule gani hayo? Iko wapi hiyo shule? Inaitwaje? Taasisi ya Kujazana na Kuendeleza Ujinga?Ni mambo ya shule hayo brother diplomasia naona mmekutana mnakubaliana vitu msivyovijua sipo upande wa Mama ila mnashangaza eti Balozi akiandika barua ya kuacha kazi basi ndio imetoka hiyo yaani wateuzi wake hawatakiwi kufanya kitu aisee na wewe ni msomi kabisaa unaandika hivyo sasa ndugu zetu tuliowaacha Namtumbo huko itakuaje?
Shule za Faizafoxy.Mambo ya shule gani hayo? Iko wapi hiyo shule? Inaitwaje? Taasisi ya Kujazana na Kuendeleza Ujinga?
Mtu aliyekwishaacha kazi uteuzi wake hautenguliwi.
Mnachojua kuhusu ubalozi ni kwenda kuomba visa tu balozi zipo wazi nenda kaulize utapewa majibu nenda Ubalozi wowote hapa mmejazana wajinga watupu hakuna kitu mnajua kuhusu hilo ukipata jibu njoo hapa sio unajifanya unajua wakati hakuna kitu unajua vitu vidogo tu hivyo na mnaenda chaka...Mambo ya shule gani hayo? Iko wapi hiyo shule? Inaitwaje? Taasisi ya Kujazana na Kuendeleza Ujinga?
Mtu aliyekwishaacha kazi uteuzi wake hautenguliwi.
Kwako kila mtu chademaNdo mlichobaki nacho hiko chadema; vichambo vya kwenye vijora🤣🤣🤣
Huyu Robot la akina Kikwete na Rostam, hamnazo kabisa. Yeye anafikiri urais ni kuvaa ushungi, kupaka rangi midomo na kula kungu tu.Nadhani hii serikali inayojiita ya awamu ya sita ina mambo yake ya kipekee sana!
Kwangu, hii serikali, ndo serikali pekee ninayoweza kusema inaongozwa kwa kutumia akili ndogo sana.
Kuanzia juu, katikati, mpaka chini, viwango vya akili vya watendaji wake ni vya chini mno.
Na mifano yake ni mingi sana.
Mtu unaweza kuonyesha mfano wa yule msemaji wa jeshi aliyedai kuwa jeshi la Tanzania ni jeshi la sita kwa ubora duniani, madai ambayo kichekesho.
Mwingine anaweza kuonyesha kauli ya Rais aliposema kuwa Tanzania kiuchumi inafanya vizuri kuliko Marekani. Hii ni zaidi ya kichekesho. Ni kituko cha mwaka.
Tuje kwenye siku ya jana ambapo Rais alipotengua uteuzi wa balozi ambaye alishaacha kazi 🤣.
Labda ni mimi tu ndo ambaye sielewi. Labda ni ukilaza wangu tu.
Hivi inawezekanaje kumfukuza mtu kazi ambayo alishaiacha kitambo? Ni mtindo wa wapi huu?
Ni wapi hapa duaniani ambapo serikali hufukuza watu kazi ambao walishaacha kufanya kazi kwa hiari yao wenyewe?
Sijui nyie wenzangu mnaionaje hii serikali, lakini kwangu mimi naiona ni serikali iliyofilisika kabisa kiakili na kimaarifa.
Tukio la jana la Rais kutengua uteuzi wa Humphrey Polepole, lawezekana likawa ni tukio la kihistoria duniani kote.
Hata Idi Amin sidhani kama aliwahi kufanya hivyo 🤣. And he was the idiot of all idiots.
Hatutaruhusu tena ang'ang'anie madarakani, tutamng'oa kwa nguvu ya umma.Mimi nikikaa na kufikiri huyu Rais akili kisosa huwa anakwenda kwenye Mikutano ya Kikanda na kukaa meza moja na miamba kama Kaguta, Kagame, Ruto, Hichelema na Ramaphosa naishiwa nguvu; nchi hii tumegeuka kuwa kituko hakika. Tunakubali vipi kuongozwa na hii 🚮🚮🚮🚮 ?
Hadhi ya ubalozi ingeweza tu kuondolewa bila hayo mambo yake kutengua uteuzi wa mtu ambaye alishaacha kazi.Lengo ni kumuondolea ile hadhi tu, hayo mengine ni mbwembwe tu
Nani mwingine amewahi kutenguliwa uteuzi wake wa nafasi ambayo alishaiacha?Mnachojua kuhusu ubalozi ni kwenda kuomba visa tu balozi zipo wazi nenda kaulize utapewa majibu nenda Ubalozi wowote hapa mmejazana wajinga watupu hakuna kitu mnajua kuhusu hilo ukipata jibu njoo hapa sio unajifanya unajua wakati hakuna kitu unajua vitu vidogo tu hivyo na mnaenda chaka...
Mama anakwambia deni kubwa sababu linatajwa kwa shillingi?!Hii serikali inayojiita ya awamu ya sita ina mambo yake ya kipekee sana!
Kwangu, hii serikali, ndo serikali pekee ninayoweza kusema inaongozwa kwa kutumia akili ndogo sana.
Kuanzia juu, katikati, mpaka chini, viwango vya akili vya watendaji wake ni vya chini mno.
Na mifano yake ni mingi sana.
Mtu unaweza kuonyesha mfano wa yule msemaji wa jeshi aliyedai kuwa jeshi la Tanzania ni jeshi la sita kwa ubora duniani, madai ambayo kichekesho.
Mwingine anaweza kuonyesha kauli ya Rais aliposema kuwa Tanzania kiuchumi inafanya vizuri kuliko Marekani. Hii ni zaidi ya kichekesho. Ni kituko cha mwaka.
Tuje kwenye siku ya jana ambapo Rais alipotengua uteuzi wa balozi ambaye alishaacha kazi 🤣.
Labda ni mimi tu ndo ambaye sielewi. Labda ni ukilaza wangu tu.
Hivi inawezekanaje kumfukuza mtu kazi ambayo alishaiacha kitambo? Ni mtindo wa wapi huu?
Ni wapi hapa duaniani ambapo serikali hufukuza watu kazi ambao walishaacha kufanya kazi kwa hiari yao wenyewe?
Sijui nyie wenzangu mnaionaje hii serikali, lakini kwangu mimi naiona ni serikali iliyofilisika kabisa kiakili na kimaarifa.
Tukio la jana la Rais kutengua uteuzi wa Humphrey Polepole, lawezekana likawa ni tukio la kihistoria duniani kote.
Hata Idi Amin sidhani kama aliwahi kufanya hivyo 🤣. And he was the idiot of all idiots.
Tayari. Kumekucha.Huu uzi unaonesha kuwa wewe ni kiazi hujui nini maana ya ukuaji wa uchumi
Hajui tofauti ya ubalozi na hadhi ya ubalozi
USSR
That too 🤣!Vipi ule uteuzi wa mtu ambaye ni marehemu