Zakaria Lang'o
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,593
- 2,767
Acha ushenzi wa kuwatakia watu uchuro. Jibu hoja ya kwa namna gani Magu anaweza kumwandikia mtu mstaarabu kama Waziri Mkuu wa Canada barua ya kumtaka ahakikishe mahakama inaharakisha maamuzi wakati kesi iliamuliwa na mahakama ya nchi nyingine. Haya si ndiyo yale ya kufungua viwanda vya kale huku tukidanganywa kuwa ni vipya!!! Mmezoea kuishi kwa uongo, safari hii mmekwama, kwani dunia ni kijiji kwa wenye akili.Kweli watanzania aina ya mleta mada wana haja gani ya kuendelea kuishi?
Wewe shida yako hasa ni nini sasa?