1. enzi zile mwalimu nyerere anatoa elimu bure watz tulikuwa wangapi? na sasa tuko wangapi?
2. uchumi umeimarika kiasi gani?
3. vyanzo vingine (mbadala) vya mapato vina potential ya kutoa mapato kiasi gani?
4. maendedeleo katika sekta nyingine yanahitaji kiasi gani? au kila senti ianyokusanywa na serikali ipelekwe kugharimia elmu?
5. kiasi gni kitabaki kwa ajli ya sekta zingine muhimu kama maji, miundombinu, ulinzi nk?
6. nk
nadhani haya ndo yanayopaswa kujadiliwa ili kumsaidia mheshimiwa mbunge na jamii kwa ujumla na sio kumshambulia personally na chama chake. hayo mimi hayanisaidii chochote, hata kama wapiga kura wamechagua zezeta watajaza wenyewe na uchaguzi umekwisha.
lets discuss issues wazee