Mbunge wa CCM
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 475
- 24
ndugu si vibaya nikiwadokeza namna nilivyofanikiwa katika uchaguzi huu na nilivyopangua hoja za wapinzani wa CCM jimboni. leo nitaanza na sera ya elimu bure kama ilivyonadia na chadema.
mimi nilinadi sera ya elimu nafuu na yenye wigo mpana kama inavyotekelezwa na CCM kupitia dhana maarufu ya wananchi kuchangia gharama za elimu.
mapungufu ya elimu ya bure niliyoyaanisha na yakaeleweka kwa wapiga kura ni pamoja na:
1. kupunguza idadi ya watakaopata elimu na kufanya mtoto kuchaguliwa kwenda sekondari kuwa sawa na bahati kama ilivyokuwa zamani. hii ni kwa sababu asilimia 20 ya bajeti ya nchi inakwenda kwenye elimu na kama wanachi hawatachangia baadhi ya gharama, basi uwezo wa serikali kusomesha watazania hautatosha kwa levels zote za elimu. niliweka wazi kwa uwezo wa elimu kutollewa bure upo hata sasa ila hofu ni kuwa idadi ya wanafunzi wanodahiliwa itapungua mwaka hadi mwaka hata kama fedha za elimu hazitakutana na wabadhirifu.
niliongeza kuwa uzuri wa elimu ya kuchangia ni kutoa fursa nyingi zaidi za elimu ata kwa wasio na uwezo kabia amabo wanakopa na kurejesha wakishamaliza elimu/mafunzo na kuajiriwa. inapendeza hasa ukizingatia kwamab wanarudisha katika muda mrefu kuliko mkopo wa kawaida unaotolewa na taasisi za fedha na ni baaada tu ya kupata lazi ya uhakika.
kupitia sera ya kuchangia elimu, sekta ya elimu imepanuka katika ngazi zote kuanzia elimu yaawali, msingi, sekondari, ufundi stadi hadi ile ya juu. mfano hai ni kutapakaa vyuo vikuu nchi nzima tofauti na ilivyokuwa zamani amabapo vyo vikuu vilikuwa UDSM na SUA pekee. pia vyuo vinavyotoa elimu ya juu navyo vimeongezeka na kutapakaa nchi nzima
ubora wa elimu unategemea bidii na uwezo wa mwanafunzi. kama mwanafunzi ataenda kucheza chuoni, basi hata kama ungempeeka kusoma ng'ambo anaweza kurejea na cheti lakini bila elimu.
hayo ni machache tu kati ya mengi niliyonadi kpinga sera ya elimu bure ya chadema. nshukuru nilieleweka na nilishinda bila kuchakachua
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
mimi nilinadi sera ya elimu nafuu na yenye wigo mpana kama inavyotekelezwa na CCM kupitia dhana maarufu ya wananchi kuchangia gharama za elimu.
mapungufu ya elimu ya bure niliyoyaanisha na yakaeleweka kwa wapiga kura ni pamoja na:
1. kupunguza idadi ya watakaopata elimu na kufanya mtoto kuchaguliwa kwenda sekondari kuwa sawa na bahati kama ilivyokuwa zamani. hii ni kwa sababu asilimia 20 ya bajeti ya nchi inakwenda kwenye elimu na kama wanachi hawatachangia baadhi ya gharama, basi uwezo wa serikali kusomesha watazania hautatosha kwa levels zote za elimu. niliweka wazi kwa uwezo wa elimu kutollewa bure upo hata sasa ila hofu ni kuwa idadi ya wanafunzi wanodahiliwa itapungua mwaka hadi mwaka hata kama fedha za elimu hazitakutana na wabadhirifu.
niliongeza kuwa uzuri wa elimu ya kuchangia ni kutoa fursa nyingi zaidi za elimu ata kwa wasio na uwezo kabia amabo wanakopa na kurejesha wakishamaliza elimu/mafunzo na kuajiriwa. inapendeza hasa ukizingatia kwamab wanarudisha katika muda mrefu kuliko mkopo wa kawaida unaotolewa na taasisi za fedha na ni baaada tu ya kupata lazi ya uhakika.
kupitia sera ya kuchangia elimu, sekta ya elimu imepanuka katika ngazi zote kuanzia elimu yaawali, msingi, sekondari, ufundi stadi hadi ile ya juu. mfano hai ni kutapakaa vyuo vikuu nchi nzima tofauti na ilivyokuwa zamani amabapo vyo vikuu vilikuwa UDSM na SUA pekee. pia vyuo vinavyotoa elimu ya juu navyo vimeongezeka na kutapakaa nchi nzima
ubora wa elimu unategemea bidii na uwezo wa mwanafunzi. kama mwanafunzi ataenda kucheza chuoni, basi hata kama ungempeeka kusoma ng'ambo anaweza kurejea na cheti lakini bila elimu.
hayo ni machache tu kati ya mengi niliyonadi kpinga sera ya elimu bure ya chadema. nshukuru nilieleweka na nilishinda bila kuchakachua
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI