Maproducer wa Bongo Fleva walioleta mapinduzi makubwa kimziki Tz

Maproducer wa Bongo Fleva walioleta mapinduzi makubwa kimziki Tz

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,517
Reaction score
860,567
Tunawafahamu zaidi wanamuziki wetu kwa nyimbo zao kali na majina yao, lakini tukumbuke nyuma yao kuna kazi kubwa sana imefanywa na producer mpaka mziki husika ukawa kama ulivyo. Man Water Shirko na wengine kibao ambao mikono na ufundi wao ulisababisha bongo fleva iwe hivi ilivyo leo BIG UP SANA PRODUCERS WA BONGO FLEVA
 
Kwangu ni Mika Mwamba,wakati ule Fm studio,daah sijui yupo wapi mzungu yule?,alitengeneza nyimbo moja ya Barozi Dolla Soul,humo alitisha mbaya,wengine ni Majani na Maste J....hongera kwao kwa kuufanya muziki huu kuwa kama ulivyo leo.
 
PFUNK aka Majani

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Jani la majani P Funk heshima kwa hasa ngoma ya Mike T kama na ngoma kibao hakuna kama majani kinywele kimoja. .
 
Back
Top Bottom