Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,149
Wana ndugu hii ni kashfa ya aibu na kweli
Kwa waliosikia jana kipindi kimoja toka clouds kuna kijana mmoja aitwae Rasta ambae amekuwa akiwauzia karibia wala ganja na unga wote pale kijitonyama;huyu kijana amepnagasha nyumba ya mmama mmoja pale kijitonyama..kutokana na tabia mbaya za huyu kijana mama akusita kutaka kumfukuza sasa mama alienda polisi kulalamika kijana anakuja na kundi la watu wanavuta ganja nyumban kwake
Gafa kijana akaitwa na mkuu wa polisi na kuonywa na kuachiwa matokeo yake akatangaza anaenda kuwacharanga mapanga watoto wa yule mama ;alipofika akakuta yule mama akamrushia panga bahat akakwepa likampata mikononiameshonwa nyuzi 15...alipoona amedondoka akakimbia..baada ya hapo mama akapelekwa hospital na huko ndipo waandishi walipopata uhuni na uchafu wa mabatini
Alipohojiwa mama alisema kwanza nashukuru kwa kuja kuniona jamani nani kawaambia..akaombwa aelezee kisa halisi wakati huo wananchi wa kijitonyama wanamtafuta huyo kijana aitwae marasta
Mama akasema kwa kweli nawaambia hawa mapolisi wanasema wako kwa ajili ya kulinda wananchi lakini ndio wanashiriki hawa kutumaliza..ndugu zanguni m nimempangisha kijana aitwae marasta sikuwa najua kama anauza unga na BANGI..akaanza kunletea watu wa ajabu ajabu......,nikaenda kituo cha polisi gafla nikakuta watu ambao wanakuja kwa hapo kijana wamevalia manguo ya polisi;
Nikaomba kuongea na mkuu wa kituo cha polisi;akaniweka kama masaa mawili..baadae nikamweleza kuna vijana na wasiwasi nao wanauza bangi kwangu naomben msaada wenu niwaondoe niwarudishie hela zao..mku wa kituo ch apolisi mabatiniakamuuliza nani wakina marasta??akajibu hao hao ....akamwambia nenda nyumban nitawaita niwashugulikie..kwa kweli imechukua mwezi wa sita ajafanya lolote na mbaya zaidi kijana huyo kumbe ikifika usiku anawapelekea POLISI WA MABATINI Ganja.aka Bangi
Ndipo waandishi wakaogopa na kwenda kuuliza kwa MKUU WA UPELLELEZ ambae akutoa ushirkiani..wakaelekea amjini na kukutana na Mkuu mmoja wa polisi nimesahau jina lake akadai amesikia hiyo taarifa na huyo rasta wanamtafuta akakiri amesikia kuna mapolisi wanaishi kula ganja usiku lakini sijui kama ni kweli naomba mnipe muda...kumbuka MKUU WA POLISI MABATINI NAE AKAOMBA MUDA MIEZI SITA LEO HUYUHUYU MAMA ANAKATWA MAPANGA NA YULE ALIEMUOGOPA
JESHI LA POLISI MNALINDA WAHALIFU NI SAWA...NA KAMA MMEANZA KULINDA KWA KUVUTA BANGI JAMANI HIZO BASTOLA SI IPO SIKU MTATUFYATULIA...HILI TATIZO LIKO VITUO VYA KAWE ,MBEZI MWISHO,NA WAKUU WA POLISI WAMEKUWA WAKIFIKIA KUWATISHIA WANAOLETA KESI ZAO..HAYA MAMBO LAZIMA YAMALIZWE VINGINEVYO SERIKALI MTAISHIA KUZIKA MAREHEMU WASIO NA HATIA
MKUU AFANDE MWMA TUNAOMBA UCHUNGUZI JUU YA HILI IKIWEZEKANA MTU AWAJIBISHWE NA SIO UPUUZI WA KUHAMISHWA UWEZI AMISHA MUUWAJI UNATARAJI NINI???MLITUAMBIA MNACHUNGUZA WALIOIBA EPA NA WEWE UKASHIIRIKI KWENYE KAMATI MPAKA LEO AKUNA MAJIBU SIJUI NA HUU ITAKUWAJE???HOPE UHAI N MUHIMU KULIKO TUME YA EPA
Kwa waliosikia jana kipindi kimoja toka clouds kuna kijana mmoja aitwae Rasta ambae amekuwa akiwauzia karibia wala ganja na unga wote pale kijitonyama;huyu kijana amepnagasha nyumba ya mmama mmoja pale kijitonyama..kutokana na tabia mbaya za huyu kijana mama akusita kutaka kumfukuza sasa mama alienda polisi kulalamika kijana anakuja na kundi la watu wanavuta ganja nyumban kwake
Gafa kijana akaitwa na mkuu wa polisi na kuonywa na kuachiwa matokeo yake akatangaza anaenda kuwacharanga mapanga watoto wa yule mama ;alipofika akakuta yule mama akamrushia panga bahat akakwepa likampata mikononiameshonwa nyuzi 15...alipoona amedondoka akakimbia..baada ya hapo mama akapelekwa hospital na huko ndipo waandishi walipopata uhuni na uchafu wa mabatini
Alipohojiwa mama alisema kwanza nashukuru kwa kuja kuniona jamani nani kawaambia..akaombwa aelezee kisa halisi wakati huo wananchi wa kijitonyama wanamtafuta huyo kijana aitwae marasta
Mama akasema kwa kweli nawaambia hawa mapolisi wanasema wako kwa ajili ya kulinda wananchi lakini ndio wanashiriki hawa kutumaliza..ndugu zanguni m nimempangisha kijana aitwae marasta sikuwa najua kama anauza unga na BANGI..akaanza kunletea watu wa ajabu ajabu......,nikaenda kituo cha polisi gafla nikakuta watu ambao wanakuja kwa hapo kijana wamevalia manguo ya polisi;
Nikaomba kuongea na mkuu wa kituo cha polisi;akaniweka kama masaa mawili..baadae nikamweleza kuna vijana na wasiwasi nao wanauza bangi kwangu naomben msaada wenu niwaondoe niwarudishie hela zao..mku wa kituo ch apolisi mabatiniakamuuliza nani wakina marasta??akajibu hao hao ....akamwambia nenda nyumban nitawaita niwashugulikie..kwa kweli imechukua mwezi wa sita ajafanya lolote na mbaya zaidi kijana huyo kumbe ikifika usiku anawapelekea POLISI WA MABATINI Ganja.aka Bangi
Ndipo waandishi wakaogopa na kwenda kuuliza kwa MKUU WA UPELLELEZ ambae akutoa ushirkiani..wakaelekea amjini na kukutana na Mkuu mmoja wa polisi nimesahau jina lake akadai amesikia hiyo taarifa na huyo rasta wanamtafuta akakiri amesikia kuna mapolisi wanaishi kula ganja usiku lakini sijui kama ni kweli naomba mnipe muda...kumbuka MKUU WA POLISI MABATINI NAE AKAOMBA MUDA MIEZI SITA LEO HUYUHUYU MAMA ANAKATWA MAPANGA NA YULE ALIEMUOGOPA
JESHI LA POLISI MNALINDA WAHALIFU NI SAWA...NA KAMA MMEANZA KULINDA KWA KUVUTA BANGI JAMANI HIZO BASTOLA SI IPO SIKU MTATUFYATULIA...HILI TATIZO LIKO VITUO VYA KAWE ,MBEZI MWISHO,NA WAKUU WA POLISI WAMEKUWA WAKIFIKIA KUWATISHIA WANAOLETA KESI ZAO..HAYA MAMBO LAZIMA YAMALIZWE VINGINEVYO SERIKALI MTAISHIA KUZIKA MAREHEMU WASIO NA HATIA
MKUU AFANDE MWMA TUNAOMBA UCHUNGUZI JUU YA HILI IKIWEZEKANA MTU AWAJIBISHWE NA SIO UPUUZI WA KUHAMISHWA UWEZI AMISHA MUUWAJI UNATARAJI NINI???MLITUAMBIA MNACHUNGUZA WALIOIBA EPA NA WEWE UKASHIIRIKI KWENYE KAMATI MPAKA LEO AKUNA MAJIBU SIJUI NA HUU ITAKUWAJE???HOPE UHAI N MUHIMU KULIKO TUME YA EPA