Mapokezi ya Zanzibar heroes live Azam tv

Mapokezi ya Zanzibar heroes live Azam tv

''....my players were not hungry enough....''
Ninje

Asante
 
Zanzibar Heroes make a political statement -yes we can.
 
I thought so once; and now I know it, muungano is excess baggage, unnecessary burden. Zanzibar oyee.
 
Hatimaye Azam wamekatisha mapokezi mazito ya Zanzibar heroes na kumchomeka Mwana riadha Alphonse Simbu. Nini hii?
 
Hao viazi ndio wanaitwa mashujaa kwa kumaliza nafasi ya pili,warudi uku waanze kuvua pweza tu.
 
Hao viazi ndio wanaitwa mashujaa kwa kumaliza nafasi ya pili,warudi uku waanze kuvua pweza tu.
Wewe una wako Tanganyika wazanzibari wanayo Zanzibari Heroes chuki ya nini kati yangu na Wewe?
 
Pongezi kwa Kenya " Harambee Stars" kwa kunipigia hao wauza ulojo , nsona nchi kimyaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom