Ana mambo ya ajabu sana huyu mtu huwa sipendi unafiki wake kati ya chibu na kiba na jins anavyo watreat wenzake ni sababu tosha ya kutokukubalika na sio chuki kwangu mimi
Ana mambo ya ajabu sana huyu mtu huwa sipendi unafiki wake kati ya chibu na kiba na jins anavyo watreat wenzake ni sababu tosha ya kutokukubalika na sio chuki kwangu mimi
Sawa lazima kuwe na sababu but sipendi perception yake maana inakuwa kama anajiona yeye ndio kila kitu kama uliona jinsi anavyomuongelea kajala huwezipinga hili....
The same goes to aunt ezekiel kibaya zaidi anachukuliwa na msafi kitu kinachopelekea wao kugombana saana kisa tu anataka anachokichukia yeye na mwenzake asikipende
Hatukatai ni kawaida kila mtu anamapungufu ila huyu mtu anajiona sana ni vizuri tu amekatwa ✂✂✂
Mtu asiye na ajira anaweza kodisha hivyo vyote hapo juu? Alafu Leo weekend waajiriwa wako mapumziko. Kila mtu na watu wake. Hakuna binadam anayekosa wawili watatu Wa kumpenda.
Mie naona kama waliandaliwa hao watu. Coz sielewi walijuaje Wema atapita siku hii, muda wa kupita mpaka na gari anayotumia wameijuaje watu wa kimara. Hizi ni katika kutafuta kuandikwa na magazeti.
Mie naona kama waliandaliwa hao watu. Coz sielewi walijuaje Wema atapita siku hii, muda wa kupita mpaka na gari anayotumia wameijuaje watu wa kimara. Hizi ni katika kutafuta kuandikwa na magazeti.