GE2025 Mapokezi ya Wagombea Urais wa ACT Wazalendo, Mpina na Othman, Unguja-Zanzibar kujitambulisha

GE2025 Mapokezi ya Wagombea Urais wa ACT Wazalendo, Mpina na Othman, Unguja-Zanzibar kujitambulisha

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, wamewasili mjini Unguja kwa ajili ya utambulisho kwa wanachama na wananchi wa kisiwa hicho.

Luhaga Mpina mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania na Othman Masoud anayewania urais Zanzibar wamewasili leo Jumamosi Agosti 9, 2025 wakitokea jijini Dar es Salaam, baada ya kumalizika kwa mkutano mkuu maalumu uliowapitisha kuwania nafasi hizo.

Wajumbe wa mkutano mkuu wa ACT Wazalendo, uliofanyika Agosti 6, 2025 jijini Dar es Salaam, walimpitisha Mpina kwa kura 559 sawa na asilimia 92.3 dhidi ya mshindani wake Aaron Kalikawe aliyepata kura 46 sawa na asilimia 7.7

Wakati Othman aliyekuwa mtiania pekee alipigiwa kura za ndio 606 sawa asilimia 99.5 ya kura zote zilizopigwa.

Mpina na Othman wamesindikizwa na mgombea mwenza wa umakamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Fatma Fereji, Kiongozi wa ACT Wazalendo, Dorothy Semu, Makamu Mwenyekiti wa chama hicho (Bara), Isihaka Mchinjita na Katibu Mkuu, Ado Shaibu.

Viongozi hao baada ya kuwasili mjini hapa watafanya metembezi katika barabara mbalimbali kuanzia eneo la Malindi, Darajani, Kisiwandui, Kisonge hadi Michenzani ambako watazungumza na wananchi.

 
Zanzibar kufanya Nini TENA HAO act wazalendo zanzibar WALIDAI hawataki muungano SA MBONA wazanzibar hamueleweki. Sasa HIVI mama YUPO madarakani NDO muda SAHIHI WA kuvunja muungano mmekaa KIMYA akoingia mwingne kelele zinaanza fanyeni SASA



Kwishaaaaa
 
Wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, wamewasili mjini Unguja kwa ajili ya utambulisho kwa wanachama na wananchi wa kisiwa hicho.

Luhaga Mpina mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania na Othman Masoud anayewania urais Zanzibar wamewasili leo Jumamosi Agosti 9, 2025 wakitokea jijini Dar es Salaam, baada ya kumalizika kwa mkutano mkuu maalumu uliowapitisha kuwania nafasi hizo.

Wajumbe wa mkutano mkuu wa ACT Wazalendo, uliofanyika Agosti 6, 2025 jijini Dar es Salaam, walimpitisha Mpina kwa kura 559 sawa na asilimia 92.3 dhidi ya mshindani wake Aaron Kalikawe aliyepata kura 46 sawa na asilimia 7.7

Wakati Othman aliyekuwa mtiania pekee alipigiwa kura za ndio 606 sawa asilimia 99.5 ya kura zote zilizopigwa.

Mpina na Othman wamesindikizwa na mgombea mwenza wa umakamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Fatma Fereji, Kiongozi wa ACT Wazalendo, Dorothy Semu, Makamu Mwenyekiti wa chama hicho (Bara), Isihaka Mchinjita na Katibu Mkuu, Ado Shaibu.

Viongozi hao baada ya kuwasili mjini hapa watafanya metembezi katika barabara mbalimbali kuanzia eneo la Malindi, Darajani, Kisiwandui, Kisonge hadi Michenzani ambako watazungumza na wananchi.


Mwinyi anaenda kushinda 90%
 
Project ya CCM tu huyo Mpina.. Kumbe ziku zote alikuwa anatumwa kujifanya mpinga kristo ili aje aonekane shujaa aaminike na wadanganyika kama mpinzani wa System kumbe uongo...

Vyama vilivyo chini ya wabishi vinaonekana jinsi Msajili wa Vyama anavyopambana navyo...
 
Kwa mara ya kwanza CCM inaenda kushinda Zanzibar, R.I.P MAALIM🙏
 
Wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, wamewasili mjini Unguja kwa ajili ya utambulisho kwa wanachama na wananchi wa kisiwa hicho.

Luhaga Mpina mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania na Othman Masoud anayewania urais Zanzibar wamewasili leo Jumamosi Agosti 9, 2025 wakitokea jijini Dar es Salaam, baada ya kumalizika kwa mkutano mkuu maalumu uliowapitisha kuwania nafasi hizo.

Wajumbe wa mkutano mkuu wa ACT Wazalendo, uliofanyika Agosti 6, 2025 jijini Dar es Salaam, walimpitisha Mpina kwa kura 559 sawa na asilimia 92.3 dhidi ya mshindani wake Aaron Kalikawe aliyepata kura 46 sawa na asilimia 7.7

Wakati Othman aliyekuwa mtiania pekee alipigiwa kura za ndio 606 sawa asilimia 99.5 ya kura zote zilizopigwa.

Mpina na Othman wamesindikizwa na mgombea mwenza wa umakamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Fatma Fereji, Kiongozi wa ACT Wazalendo, Dorothy Semu, Makamu Mwenyekiti wa chama hicho (Bara), Isihaka Mchinjita na Katibu Mkuu, Ado Shaibu.

Viongozi hao baada ya kuwasili mjini hapa watafanya metembezi katika barabara mbalimbali kuanzia eneo la Malindi, Darajani, Kisiwandui, Kisonge hadi Michenzani ambako watazungumza na wananchi.


Screenshot_20250808-135021~2.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom