KIJICHO PEVU
Member
- May 4, 2024
- 69
- 49
MAPOKEZI YA MGOMBEA MWENZA BALOZI EMMANUEL NCHIMBI KISHAPU – SHINYANGA
Mgombea Mwenza wa Nafasi ya Rais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Emmanuel Nchimbi, akiwasili Kishapu mkoani Shinyanga kwa ajili ya muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu za CCM, ambapo alipokelewa kwa shangwe na maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza akinadi Ilani ya CCM 2025–2030 na kuomba kura za Ndiyo kwa Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 29 Oktoba 2025.
Mgombea Mwenza wa Nafasi ya Rais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Emmanuel Nchimbi, akiwasili Kishapu mkoani Shinyanga kwa ajili ya muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu za CCM, ambapo alipokelewa kwa shangwe na maelfu ya wananchi waliojitokeza kumsikiliza akinadi Ilani ya CCM 2025–2030 na kuomba kura za Ndiyo kwa Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 29 Oktoba 2025.