lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,151
- 33,335
Mwanamuziki Hayati DK Remmy Ongala alitunga wimbo wa Mwanza, Ingawa aliimba na Bukoba, Kagera
Alisifu Sana ukarimu wa watu wa Mwanza.
Nanukuu kidogo maneno ya wimbo huo, Kisha nitaleta hoja ya mada yangu.
Remmy aliimba:
Mwanza ooh Mwanza,Mwanza mji mzuriiii
Mji wa Mwanza umezungukwa na lake Victoria,yenye maji baridi na samaki watamu,
Mji wa Mwanza umezungukwa na milima ya mawe,
Milima ya almasi,
Milima ya dhahabu,
Wakazi wa Mwanza Ni Wasukuma,
Wanasema kisukuma,
Sukuma waaaa,
sukuma waaaa,
Molemhola banike,
molemhola bamayo,
Mwadela banamhala,
Mwanza tutarudi Tena"
Mwisho wa kunukuu.
Dk Remmy alitunga wimbo huo baada ya kupokelewa vizuri na wakazi wa Mwanza Kama alivyopokelewa Lissu hivi punde.
Nimeandika mada hii ili kueleza kuwa Wasukuma sio,wabaguzi,siowakabila na wala sio watu makatili asilani. Ila Kuna baadhi ya watu wanatumia kivuli cha uwingi wa wasukuama kwa manufaa binafsi ya kisiasa.
Mkoa mzima wa Mwanza Lissu kapokelewa vizuri na kwa ukarimu wa Hali ya juu kabisa, hadi kusindikizwa kwenda kulala na kumlinda asidhuriwe.
Ikumbukwe Geita ilikua ni Wilaya ya Mwanza wakati Remmy akitunga wimbo huo.Remmy Kama Lissu alipokelewa vizuri Sana Mwanza na Bukoba.
Kwa hiyo nawaomba Sana Watanzania wenzangu mapokezi ya Lissu yamefuta kabisa hisia kwamba Wasukuma Ni Wakabila na wakatili, hapana Ni mtu mmoja tu ambae sina uhakika kama ni Msukuma.
Alisifu Sana ukarimu wa watu wa Mwanza.
Nanukuu kidogo maneno ya wimbo huo, Kisha nitaleta hoja ya mada yangu.
Remmy aliimba:
Mwanza ooh Mwanza,Mwanza mji mzuriiii
Mji wa Mwanza umezungukwa na lake Victoria,yenye maji baridi na samaki watamu,
Mji wa Mwanza umezungukwa na milima ya mawe,
Milima ya almasi,
Milima ya dhahabu,
Wakazi wa Mwanza Ni Wasukuma,
Wanasema kisukuma,
Sukuma waaaa,
sukuma waaaa,
Molemhola banike,
molemhola bamayo,
Mwadela banamhala,
Mwanza tutarudi Tena"
Mwisho wa kunukuu.
Dk Remmy alitunga wimbo huo baada ya kupokelewa vizuri na wakazi wa Mwanza Kama alivyopokelewa Lissu hivi punde.
Nimeandika mada hii ili kueleza kuwa Wasukuma sio,wabaguzi,siowakabila na wala sio watu makatili asilani. Ila Kuna baadhi ya watu wanatumia kivuli cha uwingi wa wasukuama kwa manufaa binafsi ya kisiasa.
Mkoa mzima wa Mwanza Lissu kapokelewa vizuri na kwa ukarimu wa Hali ya juu kabisa, hadi kusindikizwa kwenda kulala na kumlinda asidhuriwe.
Ikumbukwe Geita ilikua ni Wilaya ya Mwanza wakati Remmy akitunga wimbo huo.Remmy Kama Lissu alipokelewa vizuri Sana Mwanza na Bukoba.
Kwa hiyo nawaomba Sana Watanzania wenzangu mapokezi ya Lissu yamefuta kabisa hisia kwamba Wasukuma Ni Wakabila na wakatili, hapana Ni mtu mmoja tu ambae sina uhakika kama ni Msukuma.