Mapinduzi ndani ya kizimba... (CCC)

Mapinduzi ndani ya kizimba... (CCC)

Nasubiri hilo litokee kama kweli , maana chief kisha kubali matokeo na anajuwa ni kwanini hawezi yeye kusema kitu , dawa yao nikuongeza sungu sungu wengine kutoka mikoa jirani ambao kimsingi wana toa msaada mkubwa kwa wale sungusungu wa chumbani , ili watakapo kuja walazimishaji basi , wapambane na wale wa nje kabla hawaja watokea wale wandani.
 
Nasubiri hilo litokee kama kweli , maana chief kisha kubali matokeo na anajuwa ni kwanini hawezi yeye kusema kitu , dawa yao nikuongeza sungu sungu wengine kutoka mikoa jirani ambao kimsingi wana toa msaada mkubwa kwa wale sungusungu wa chumbani , ili watakapo kuja walazimishaji basi , wapambane na wale wa nje kabla hawaja watokea wale wandani.
 
Mkuu mshana Jr, huwa unatoa mafunzo magumu sana ambayo ni ngumu kuyapata vijiweni kwenye kahawa na kashata...

Muumba akutunze ili akina mimi na wale tufaidi aliyokujaaliaa
 
Mkuu mshana Jr, huwa unatoa mafunzo magumu sana ambayo ni ngumu kuyapata vijiweni kwenye kahawa na kashata...

Muumba akutunze ili akina mimi na wale tufaidi aliyokujaaliaa
napokea kwa unyenyekevu
 
.
IMG_20190530_154643.jpeg
 
*Question 1.Andika kwa tarakimu*
1.Elfu Arobaini na moja laki Sita.
2.Elfu arobaini na nne laki nane
shikamoo hisabati... Kipengele cha MAGAZIJUTO
 
 
Back
Top Bottom