Ukiangala profiel yao, wao ni Technology Application company na si actual investment company kuwa na mtaji mkubwa kiasi hicho kufanya project kubwa kama hiyo. Labda kwa kuwa wanafanya Hedging na partners wao, wanaweza ku-solicit fedha kutoka kwa partners wao.About Fox River
Fox River Financial Resources is a privately held trading company that provides multiple trading services for equities, options and futures. They also offer algorithmic execution for a diverse client base of institutions, hedge funds and broker dealers. Fox River delivers a superior service to clients by combining the best mathematical minds, trader talent and technology.
Kilichonishtua ni Financier wa project na logo ya BNSF. Kwa kuwa nimewahi kufanya kazi katika taasisi za fedha na hasa kuhusiana na hisa za makampuni na BNSF walikuwa ni wateja na pia bidhaa yenye wawekezaji wengi basi machale yakanituma nitafute habari hizi kwa undani.
Aliuambia ujumbe huo kuwa, serikali imejipanga kuhakikisha kuwa upanuzi na matengenezo makubwa katika Reli ya Kati unakwenda sambamba na upanuzi mkubwa wa Bandari ya Dar es Salaam.
Wajenge reli mpya tatu sambamba na hii iliyochakaa ili kupunguza usumbufu na waje na pesa mpya sio kila siku kubambikiza.
Hivi Reli ya Tanga Musoma kwa Mizigo ya Kwenda Uganda imeishia wapi? au ndi hizo hadithi zetu za kila siku tuna amani, tuna maliasili kuliko wengine, tuna siasa safi, wakati tuna uchumi duni kuliko hata nchi zisizo na hizo Maliasili.na Vita ya Kila Siku.
..dua,
..tatizo sio reli nyingine,bali ni kuitumia tuliyonayo vizuri!
..kama unafuatilia hili utagundua kuwa hatuna vichwa vya treni vya kutosha na hata mabehewa!mbaya zaidi ni kwamba hatuna ujuzi wa kisasa wa ku-run shirika la reli efficiently!
..hiyo reli ni tbl nyingine!subiri utaona!
Mkuu sijui unaishi nchi gani lakini ukiangalia njia ya treni iliyojengwa (yaani reli ya kati) speed za treni ni chini ya Km 80kwa saa. Pamoja na matatizo yake ya kutokuwa na vichwa n.k. tunahitaji kujiweka katika karne ya 21 ili kupunguza msongamano wa magari ya mizigo, abiria n.k.
Hivi sasa nchi zote zinazoendelea zinatumia njia za treni ambapo speed inakwenda hadi kwenye hundreds yaani safari ya kutoka Dar to Mwanza kwa treni inakuwa chini ya masaa 6 huko ndiko tunakotaka kwenda siyo kuwa na viporo kama mikokoteni.
...hili ni deal la wanyarwandwa kwa mizigo yao kupitia bandari ya Dar na mkitaka kujua vizuri ingieni kwenye site ya BNSF then search Tanzania or Rwanda kuna press release zinazohusika na hii Reli,na hao BNSF ni kampuni ya maana sana sio wababaishaji kama Richmond or IPTL...ni deal zuri sana kwa Tanzania na Rwanda pamoja maana cargo ya Rwanda 100% itapitia TZ na watalipa tax ambayo ni kubwa sana na kitakachofuata waganda nao wanaweza kuunga kutoka Rwanda kwa hiyo cargo zote za nchi mbili zinaweza zikawa zinapitia Tanzania,lakini naona hapo sijui kama Kenya atakubali kupoteza biashara kubwa kama hii,na ndio maana nimemwelewa aliposema ujenzi wa hii reli utaenda sawa na modernization na massive expansion ya Dar port...wajomba ulaji mtupu hapo ila tuache rushwa na uswahili!
..kwahiyo unakubali kuwa hatuna haja ya nyingine bali kuifanya hii iliyopo ifanye kazi vizuri!
..nishalisema hilo! ungesoma vizuri ungeelewa!
Soma vizuri nilichoandika.
tunahitaji kujiweka katika karne ya 21 ili kupunguza msongamano wa magari ya mizigo, abiria n.k.