fangfangjt
JF-Expert Member
- Apr 25, 2008
- 571
- 139
Kuna mapigano ya ardhi Tegeta watu 5 wamekufa na majeruhi ni wengi.
Source ITV
Kuna mapigano ya ardhi Tegeta watu 5 wamekufa na majeruhi ni wengi.
Source ITV
Hiyo ndiyo fainali ya serikali legelege. Watajitokeza na machozi ya mamba. Nawaunga mkono wanaojitetea kwa kupinga uporaji unaofanywa na wenye ubia na serikali legelege. HIYO NDIYO AMANI NA UTULIVU WANAOUIMBA
Jamani wasije wakawa wanagombea ka kikawanja kangu pale jirani na Nyamachabes
Very sad..