wakimataifa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 942
- 168
Polisi ikiamua kufanya kazi inaweza afisa ngazi za juu wa polisi alitema cheche kuwa akisikia tena mapigano ya wakulima na wafugaji akute barua za kuacha kazi nyinyi polisi wa kiteto msitegemee kuhamishwa mpaka sasa jamii ya wafugaji imesalimu amri kuwambia wakulima limeni tusigombane.
akipatikana mfugaji kaingiza ng'ombe shambani apigwe faini na kuhamishwa
akipatikana mfugaji kaingiza ng'ombe shambani apigwe faini na kuhamishwa