ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,748
- 42,222
- Thread starter
-
- #141
Kumbe kisa cha Yona kumezwa na samaki sababu ilikua kukataa agizo la Munguπ³Ninawi na Nabii Yona β Muhtasari
Ninawi ulikuwa mji mkuu wa Dola ya Ashuru, uliosifika kwa utajiri, nguvu za kijeshi na uovu mkubwa. Kwa sababu ya maovu yao, Mungu alimtuma Nabii Yona kwenda kuwaonya kwamba mji ungeangamizwa ndani ya siku 40 ikiwa hawangetubu.
Mwanzoni Yona alikataa kwenda na akajaribu kukimbia. Baada ya kupitia tukio la kumezwa na samaki mkubwa kwa siku tatu na usiku tatu, alitii agizo la Mungu na kwenda Ninawi.
Ooh asante mkuuAlipofika, alitangaza ujumbe wa toba. Cha kushangaza, kuanzia mfalme hadi watu wa kawaida walitubu, wakafunga na kubadili mwenendo wao. Mungu akaona toba yao na akaahirisha adhabu aliyokuwa ametangaza.
πππUnaijua, itafute mama!!
Asante ni tasoma nikikumbuka nitakuletea mrejeshoJonah Alikaidi amri Ya Mungu, Kisha Akapanda merikebu kupelekea Tarshish instead of Nineveh (Ninawi)
Wakiwa katikati ya bahari Chombo likapata dhoruba, Waliokuwa mke ndani wakapiga kura/Ramli/wakafikiri kwa kina Ya kubwa huyu huenda Kwa hakika na yakini kubwa ndiye aliyetuletea Zahama yote hiyo kisha wakatupa baharini ...
Napendekeza ukisoma kitabu cha Jonah kwenye biblia kwa uelewa zaidi
Uzi wako huu unatufundisha nini dada?Natoa angalizo kwa wale wa unashinda JF full-time
Huu ni kama ushauri tu kwamba hii mada inakuhusu isome yote ili uanze leo kupigana na hiyo tabia isiyopendeza ya kufatilia ni nani anaingia online sa ngapi na anatoka saa ngapi
Sisi wengine kuandika ni moja wapo ya enjoyment π
Na hii platform sio kama hizo zingine za kupost makalio au kutafuta attention hapa tulio wengi hatufahamiani
na hii inatupa uhuru wa ku share kujifunza kupiga story na kufurahia maisha kwa mtindo huo
kwa wale wote wanaovutiwa na nyuzi zangu guys nipo in love kwenu π₯° nawapenda sanaππ
Twende zetu sasa π
Mapigano yapo ya aina nyingi Umewahi kusikia nchi fulani ikiwa vitani?
Watu husema nchi A inapigana na nchi B. Hayo huitwa mapigano
Pia kuna mapigano kati ya watu wawili, mtu A na mtu B, kama vile yanavyotokea ulingoni( mtu anapigwa hata kwa TKO)
Hata wanyama nao hupigana mfano kuku, mbuzi na wengine
Lakini je, umewahi kujiuliza kama inawezekana mtu kupigana dhidi ya yeye mwenyewe?
Jibu ni ndiyo, inawezekana kuwa na vita au mapigano dhidi yako mwenyewe
Haya ni mapigano ambayo hayapiganwi kwa ngumi wala silaha, bali ni mapambano ya ndani ya nafsi
Ni pale unapogundua kuna kitu ndani yako ambacho hakikufanyi kuwa mtu unayetaka kuwa, hivyo unaamua kukikabili
Mfano unaweza kujijua kabisa una tabia fulani kama wivu, hasira au kutokuwa na subira
Baada ya muda unagundua tabia hiyo haikusaidii wewe wala jamii inayokuzunguka
Hapo ndipo vita vinaanza siyo dhidi ya mtu mwingine, bali dhidi ya hiyo tabia iliyopo ndani yako
Unaanza kujifunza kujizuia kujirekebisha na kuikataa ile hali ambayo haikupi thamani
Kwa mfano, kama zamani ulikuwa huwezi kukaa nyumbani na kila mara ulitamani kutoka, siku moja hamu hiyo inapokuja unaweza kujikuta ukisema
Hapana, siendi leo(unakaza)
Hapo unakuwa umeanza kupigana dhidi yako mwenyewe unayashinda matamanio yako kwa ajili ya lengo kubwa zaidi
Sasa swali la mjadalaπ
Wewe umewahi kuwa na vita au mapigano dhidi yako mwenyewe?
Ni nini kilishinda wewe au kile ulichokuwa unapambana nacho?
Ulipigana kwa muda gani, na ulitumia njia gani kushinda?
Nyongezaπ
Kabla hujaanza mapambano hayo, ni muhimu kujifanyia utafiti wa nafsi yako Jifahamu, tambua tabia zako, haiba yako na vitu vinavyokufanya uwe wewe
Baada ya hapo utaweza kuona kama kuna mambo ndani yako unayoyapenda au kuna mengine ambayo yanahitaji kubadilishwa
Kwa sababu wakati mwingine ushindi mkubwa wa mtu siyo kumshinda mwingine, bali ni kujishinda mwenyewe na kuwa yule mtu ambaye anatamani kuwa
Happy weekend π₯
ShesRise_1 βοΈ
Shikamoo kakaUzi wako huu unatufundisha nini dada?
Niko nae hapa chibaba πNaomba nikuwekee ulinzi basi
MashaAllah π€ vip hana rafiki yake π«£Niko nae hapa chibaba π
Wapo πMashaAllah π€ vip hana rafiki yake π«£
Okoa jahaziWapo π
Niko Kilimanjaro Leo.Okoa jahazi
Mi si nipo kwa chalamila jamani huko nafika je π₯ΉNiko Kilimanjaro Leo.
Njoo basi hapa Amuzπ
Uwiiii.Mi si nipo kwa chalamila jamani huko nafika je π₯Ή
Masikitiko πUwiiii.
Mimi huko mara Moja Moja sana
ephen_ nimethibisha kumbe de gunner ndio Elevenn πππThat's the issue with you, huku soma vizuri comment yangu?
Sikusema wewe ni mtoto nilisema zinakufanya uonekane kama mtoto zingatia hilo next time
Ni kweli ila unatakiwa kupunguza au kujaribu kupunguza Misconception au kudhani mtu anaku attack kila wakati.
Asante sana mkuu1
Mkuu, kitu cha kwanza ni kujikubali mwenyewe
Amini kwamba una uwezo wa kuzungumza na watu na kwamba mawazo yako yana thamani
Acha kujiuliza sana Watanichukuliaje nikiongea
Ukweli ni kwamba hakuna mtu mkamilifu
Kila mtu ana changamoto zake na kila mtu hujifunza kwa kupitia makosa
Wewe kama ni kuongea ongea ukikosea kesho utajifunza kupitia makosa yako ya leo
Anza kuongea taratibu bila kuogopa kuhukumiwa maana challenge utakutanazo na ni kawaida
Wengine watakuelewa, wengine watakosoa, lakini hata maneno mabaya yakitokea yachukulie kama changamoto ya kukufanya uwe bora zaidi
Ujue kabisa hata iweje huwezi kukubalika na wote haiwezekani ukijua hivyo utakua huru kufanya unavyopenda bila kujali matokeo hasi dhidi yako
Hata mimi mkuu nimei love!Hii imeenda yaan well taken
KaribuA
Asante sana mkuu
SafiiHata mimi mkuu nimei love!
Mapigano ya kuacha kubet duh! miaka miwili napigana tu since niko form two hapo, form three ndo ikawa balaa maana nilidrop hadi kimasomo, form four nikaongeza jeshi la kiroho nikatumia silaha nzito inayoitwa prayer mapema tu nikashinda uraibu na necta nikapata grade nzuri tu!Safii
Hongera sana sanaMapigano ya kuacha kubet duh! miaka miwili napigana tu since niko form two hapo, form three ndo ikawa balaa maana nilidrop hadi kimasomo, form four nikaongeza jeshi la kiroho nikatumia silaha nzito inayoitwa prayer mapema tu nikashinda uraibu na necta nikapata grade nzuri tu!