Mapigano dhidi yako mwenyewe πŸ’ͺ

Kumbe kisa cha Yona kumezwa na samaki sababu ilikua kukataa agizo la Mungu😳
Alipofika, alitangaza ujumbe wa toba. Cha kushangaza, kuanzia mfalme hadi watu wa kawaida walitubu, wakafunga na kubadili mwenendo wao. Mungu akaona toba yao na akaahirisha adhabu aliyokuwa ametangaza.
Ooh asante mkuu
 
Asante ni tasoma nikikumbuka nitakuletea mrejesho
 
Uzi wako huu unatufundisha nini dada?
 
ephen_ nimethibisha kumbe de gunner ndio Elevenn πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ

Aisee niko hoi 🀣🀣🀣
 
A Asante sana mkuu
 
Mapigano ya kuacha kubet duh! miaka miwili napigana tu since niko form two hapo, form three ndo ikawa balaa maana nilidrop hadi kimasomo, form four nikaongeza jeshi la kiroho nikatumia silaha nzito inayoitwa prayer mapema tu nikashinda uraibu na necta nikapata grade nzuri tu!
 
Hongera sana sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…