Mapepo, Maruani na Majini: Uhalisia au Hadithi?

Mapepo, Maruani na Majini: Uhalisia au Hadithi?

No such a thing called heaven ni vitu vya kufikirika, mambo mengi ni nadharia you can't proof.
Human brain is like a computer, mtu anakua katika Imani kutokana na data anazozipata based on a certain geographical area ila ukweli ni kwamba hivi vitu ni Imani na kwa upande wangu naweza kusema havipo
Utajiju.
 
So unataka vitu vya kiroho vijibiwe kisayansi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom