Registered_jf
JF-Expert Member
- Nov 27, 2024
- 1,180
- 1,999
Utajiju.No such a thing called heaven ni vitu vya kufikirika, mambo mengi ni nadharia you can't proof.
Human brain is like a computer, mtu anakua katika Imani kutokana na data anazozipata based on a certain geographical area ila ukweli ni kwamba hivi vitu ni Imani na kwa upande wangu naweza kusema havipo