Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,918
- 8,715
Nailikuwaje naomba mnijuze jamani.
Ukishajua then..
Nailikuwaje naomba mnijuze jamani.
Ila wanawake ndio wanadharauliwa sindio pole zako .
Kudharauliwa nijambo ambalo silipendi kweli.We umeanzisha uzi vumilia michango tunayotoa.
Inawezekana wewe ndo huelewiKudharauliwa nijambo ambalo silipendi kweli.
Unamadharau jua hiloInawezekana wewe ndo huelewi
Best naona umekua mtabiri siku hiziKwa huu uzi kuna mtu leo anaelekea kibra..mume wa mtu[emoji41][emoji41]!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji6][emoji6][emoji8]Kudharauliwa nijambo ambalo silipendi kweli.
Kitakachotokea nini?Cha mtu huliwa na mtu, we kamle tu huyo mme wa mtu.
Nothing, we kale raha tu usiweke moyo wako, make mkimaliza anarudi kwa mke wake, anaweza kukudanganya danganya ooh mke wangu simpendi ooh ilitokea bahati mbaya ooh naomba unizalie ujue wote huo ni uongo tu gia za kuombea papuchi mwambie fwara usiniambie habari za mkeo!!!Kitakachotokea nini?
Malizia basi??
HahahaCha mtu huliwa na mtu, we kamle tu huyo mme wa mtu.
[emoji23]Kwa huu uzi kuna mtu leo anaelekea kibra..mume wa mtu[emoji41][emoji41]!