Mapenzini na mtu wa mtu.

Mapenzini na mtu wa mtu.

Hahaaa! Ukinywesha Zanzi mixer K- vant
Nimekunywa kila taka taka hata banan matapu tapu yaani k vant zanzi napiga kama maji ya kilimanjaro
Yaaani gongo hakuna kitu sijui chochote mix leta napiga vyote nimewahi kupiga bangi na k vant na bado safari saba nikaanza kuvua nguo zote nikae vizuri nishushe na jingine.
 
Acha kujisifia ulishonja gongo ile namba 1 ambayo inawaka kama petrol?
Nimekunywa kila taka taka hata banan matapu tapu yaani k vant zanzi napiga kama maji ya kilimanjaro
Yaaani gongo hakuna kitu sijui chochote mix leta napiga vyote nimewahi kupiga bangi na k vant na bado safari saba nikaanza kuvua nguo zote nikae vizuri nishushe na jingine.
 
Badilisha jina andika Kabibi mkomao
Jina ni jina kula vyote sio kuwa mzee na pia mazoea na wewe sipendi kwa maana wewe nikatoto kanakovaa nepi za mikojo naongea na defenders sio boda boda za kichina
 
Nasema tu jamani toeni experience
Msiwe wachoyo
Mume wa mtu ana masharti kama mganga wa kienyeji...... Akifika home kwake usimpigie wala kumtumia meseji mpaka aanze(upuuzi wa Hali ya juu), anakuona wewe kiraka chake kwa kifupi ukidate na mume wa mtu ni tabu juu ya tabu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom