happy lusajo
New Member
- Oct 17, 2012
- 2
- 1
Jamani naombeni ushauli wenu , wanawake kwa wanaume, Mimi nina mchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa mwezi wa kumi na moja ktk mkoa wa Morogoro, sasa uyu mwanaume sasaiv amekuwa mkali kila nikimuuliza labda uko wap ananiambia kwan lazma nijue, akiwa na wenzie ananikatia cm anasema alikuwa anaongea na marafiki zake,amekuwa ni mtu w kufoka kila wkt,akinikosea hata msamaha aniombi, na ndio tunakalibia kufunga ndoa, nifanyeje wapendwa