Zakaria hamdani
Member
- Aug 20, 2011
- 6
- 1
Apenzi ya siku hizi ni biashara hasa Tanzania
Apenzi ya siku hizi ni biashara hasa Tanzania
vip mi dalali unatafuta soko?Apenzi ya siku hizi ni biashara hasa Tanzania
mkosoaji anapokosea na yeyeApo kwenye bold manake nini? Dah, kazi kweli kweli
uko kwa waindi je?Labda huko arusha kwenu
Apo kwenye bold manake nini? Dah, kazi kweli kweli
mkosoaji anapokosea na yeye
masikini... ndio post yake ya kwanza. hahahaha
hata mimi post yangu ya kwanza ilikua soo
lakini nilisubiri miezi kadhaa kabla ya kuleta thread...
Apenzi ya siku hizi ni biashara hasa Tanzania
Ndio hivo. Bahati yangu nilipokelewa na AshaDii na Aspirin (wote waelewa)huwa ni afadhali kutulia na kujifunza mbinu za mchezo.
Sababu unakuwa hujui hata edit button ni ipi. Yaani full mazingaombwe.