Mapenzi yaua mbeya

Mapenzi yaua mbeya

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Mwanamke 1 mkazi wa Inyala amekufa jana wakati akitibiwa Sokoine hosp. Alipigwa na mumewe baada ya kufumaniwa akifanya mapenzi na binamu yake
 
Mhhhh! naona mapenzi yameshika kasi ingekuwa enzi za tangazo la buzzy saizi tungesema buzzy imepagawa
 
lkn c ndugu yake angemuacha tu ila ingekuwa mwanaume mwingine hapo angekuwa sahihi lkn binamu
 
wewe marehem mwee binam tena.haya pumzika panapokustahili
 
We are in now Sodoma and gomola.
All good man late us keep in praying.
 
mhh mapenzi.mapenzi.mapenzi.mapenzi..dah...kweli yatatumaliza.R.I.P MAREHEMU..
 
Back
Top Bottom