Daaah!! Hii stori kidogo ifabnane na yangu, nakumnuka 2014 niko mwaka wa mwisho chuoni milikuwa na demu ambaye kwa mda wa miezi mitatu hatukuwa pamoja, yeye alisafiri kwenda kwao, halafu alivyorudi dar hakunijulisha, siku moja nikapiga simu akapokea na nikagundua kuwa huyu hayuko mkoani atakiluwa hapa dar, nilpomuulza kama yuko dar akakubali akadai kaja ghafla kwa usafiri wa mjomba wake.
Basi nikamwambia njoo basi kwangu, akaja duuu!! Mtoto kapendeza balaa, anatia viwalo ile mbaya na nikampenda zaidi kwani awali hakuwa hivyo.
Basi mda wa usiku umefika mi nacheki naona kama kanenepa kweli maana alikuwa na shepu matata.
Kabla ya kugegedana akaniambia ni mjamzito wa miezi minne, babake niliwaza balaa kumuuliza akasema eti hakujua kwani alikuwa anaendelea kupata siku zake kama kawaida so hakutambua mapema.
Nilimfukuzia.mbali nikamwambia mimi na wewe tena basi nenda kwa huyo alokupa mimba. Aliondoka kama baada ya miezi saba hivi alinipigia eti kajifungua mtoto wa kiume nikampogeza tu simu nikakata na namba nikafuta tena.
Hadi leo mwaka na nusu sasa hajanitafuta tena.
Nilijaribu kuikubali ile mimba lkn nikashindwa