Mapenzi yanauma

Mapenzi yanauma

😂😂😂Ila nainjoi na comments za huu Uzi Jamani.. ahsante kwa tag bana🤗
Ha haaa,usihame kigenge tafadhali....tupo kufurahisha hapa.Maunda Zoro alijua Leo ataiona ivo tafadhali jitengenezee furaha wakati huu ulionao cute
 
Ha haaa,usihame kigenge tafadhali....tupo kufurahisha hapa.Maunda Zoro alijua Leo ataiona ivo tafadhali jitengenezee furaha wakati huu ulionao cute
Sihami nipo nimeweka kambi na tent langu pembeni..Kwakweli tufurahi tu..dunia yenyewe yetu Sasa!!!...hakika umenena vyema mdada mzuri mzuri..
 
Sikumtongoza kwa sababu alisema nimtongoze ndo nikamtongoza,,,mie bado nimeshikilia mstari huuu
 
Achana naye huyo kibweka stick na jimama
 
Nasikitika kukuambia ndugu mwandishi kua, wewe bado ni mdogo hujakua bado.
 
Loweka rungu pita kushoto
Ujawa hela upendwe na kila mtu
Nadhan tumeelewana
 
Mleta mada kuwa serious Basi!unaposema mapenzi yanauma hivi umewahi kujigonga kale kakidole kamguuni kamwisho kwenye meza au kitanda!?Kuna vitu vinauma bwana
 
Me ndio maana naona bora niwe sister nimtumikie Mungu wangu
 
Mambo madogo tu hayo, bora hajakuambia na umejua basi jitengenezee mazingira ya kutokuumia, ukijiendekeza utakuja kufuta na kamasi hapa mkuu

Kingine swala la kurudishiwa gharama ni uzembe mkuu, mbona watu wanahongana magari na mijengo na wanaachana tu bila shida, wewe pesa kidogo tu urudishiwe??? Kwani ilikua ni mahari??? Ata kama ni magari enyewe ukiamua kumtema mtu tema kila kitu mkuu, inaelekea uliwatesa sana wenzio utoto wako kitu kidogo tu utasikia NILIPE VITU VYANGU
 
Habarini wazee

Wakati nipo mdogo kulikuwa na jirani yangu Analia kisa mapenzi nikawa namuona muongo huyu anaigiza, nikamwambiaga mapenzi hayaumi akasema kelele wewe bado mdogo leo nimeamini kuwa pale nilikuwa mdogo.

Haya stori ipo ivi. Nilibahatika kuwa kwenye mahusiano na mtu ambaye alinipenda yeye mm sikumpenda nilimtongoza kwa sababu alisema nimtongoze na mm nilikuwa single nikamtongoza nilikuwa simpigii simu yeye ndio atapiga muda mwingine akipiga naigiza nipo usingizini kumbe nipo na masela tuna bonga yani mpka machweo.

Sasa katika kupita kwangu nikakutana na dada mmoja ambaye nilimpenda sna since day one nilikuwa nimeambatana na dada yangu akasema huyu ndio mwanamke wa kuoa nikasema mm nampenda yule kweli jioni nikamtafuta nikapata namba yake tukaendelea kuchat yule nikawa namtafutia sababu nikikutana nae namkimbia sasa mwisho wasiku yule dada alienipenda akajua akaja kulala mimi nikamwambia sikupendi na kweli kwaza wezangu waka wanitania wakimuona wanasema jimama lako ilo nakuja.

Tusonge mbele sasa yule niliempenda yy kumbe anipendi akiwa na mm anapretend, akitoka kwangu ananinanga sana yule jimama akaja kusema kuwa uyo ulie naye anasema hakupendi ww ndio unamlazimisha ana bwana wake tena kasema hataki mazoea na wewe, sasa nilipojaribu kumuuliza nimpemdaye alikuja juu akasema tuachane.

Wana JF mm bado nampenda sana na bado sijamchoka nifanyeje na yule jimama akiniona ananichekea bado af mimi nataka aniludishie gharama zangu nilizotumia ili tuachane kistaarabu nimejinyima sana kwa ajili yake. Je, nipo sahihi?

Nawasilisha
Hata hivyo bado hujakua
 
Habarini wazee

Wakati nipo mdogo kulikuwa na jirani yangu Analia kisa mapenzi nikawa namuona muongo huyu anaigiza, nikamwambiaga mapenzi hayaumi akasema kelele wewe bado mdogo leo nimeamini kuwa pale nilikuwa mdogo.

Haya stori ipo ivi. Nilibahatika kuwa kwenye mahusiano na mtu ambaye alinipenda yeye mm sikumpenda nilimtongoza kwa sababu alisema nimtongoze na mm nilikuwa single nikamtongoza nilikuwa simpigii simu yeye ndio atapiga muda mwingine akipiga naigiza nipo usingizini kumbe nipo na masela tuna bonga yani mpka machweo.

Sasa katika kupita kwangu nikakutana na dada mmoja ambaye nilimpenda sna since day one nilikuwa nimeambatana na dada yangu akasema huyu ndio mwanamke wa kuoa nikasema mm nampenda yule kweli jioni nikamtafuta nikapata namba yake tukaendelea kuchat yule nikawa namtafutia sababu nikikutana nae namkimbia sasa mwisho wasiku yule dada alienipenda akajua akaja kulala mimi nikamwambia sikupendi na kweli kwaza wezangu waka wanitania wakimuona wanasema jimama lako ilo nakuja.

Tusonge mbele sasa yule niliempenda yy kumbe anipendi akiwa na mm anapretend, akitoka kwangu ananinanga sana yule jimama akaja kusema kuwa uyo ulie naye anasema hakupendi ww ndio unamlazimisha ana bwana wake tena kasema hataki mazoea na wewe, sasa nilipojaribu kumuuliza nimpemdaye alikuja juu akasema tuachane.

Wana JF mm bado nampenda sana na bado sijamchoka nifanyeje na yule jimama akiniona ananichekea bado af mimi nataka aniludishie gharama zangu nilizotumia ili tuachane kistaarabu nimejinyima sana kwa ajili yake. Je, nipo sahihi?

Nawasilisha
Endelea kulia
 
Habarini wazee

Wakati nipo mdogo kulikuwa na jirani yangu Analia kisa mapenzi nikawa namuona muongo huyu anaigiza, nikamwambiaga mapenzi hayaumi akasema kelele wewe bado mdogo leo nimeamini kuwa pale nilikuwa mdogo.

Haya stori ipo ivi. Nilibahatika kuwa kwenye mahusiano na mtu ambaye alinipenda yeye mm sikumpenda nilimtongoza kwa sababu alisema nimtongoze na mm nilikuwa single nikamtongoza nilikuwa simpigii simu yeye ndio atapiga muda mwingine akipiga naigiza nipo usingizini kumbe nipo na masela tuna bonga yani mpka machweo.

Sasa katika kupita kwangu nikakutana na dada mmoja ambaye nilimpenda sna since day one nilikuwa nimeambatana na dada yangu akasema huyu ndio mwanamke wa kuoa nikasema mm nampenda yule kweli jioni nikamtafuta nikapata namba yake tukaendelea kuchat yule nikawa namtafutia sababu nikikutana nae namkimbia sasa mwisho wasiku yule dada alienipenda akajua akaja kulala mimi nikamwambia sikupendi na kweli kwaza wezangu waka wanitania wakimuona wanasema jimama lako ilo nakuja.

Tusonge mbele sasa yule niliempenda yy kumbe anipendi akiwa na mm anapretend, akitoka kwangu ananinanga sana yule jimama akaja kusema kuwa uyo ulie naye anasema hakupendi ww ndio unamlazimisha ana bwana wake tena kasema hataki mazoea na wewe, sasa nilipojaribu kumuuliza nimpemdaye alikuja juu akasema tuachane.

Wana JF mm bado nampenda sana na bado sijamchoka nifanyeje na yule jimama akiniona ananichekea bado af mimi nataka aniludishie gharama zangu nilizotumia ili tuachane kistaarabu nimejinyima sana kwa ajili yake. Je, nipo sahihi?

Nawasilisha
what goes around comes around
 
Hayo mapenzi yana uma sehemu gani?Tafuta pain killers mzee acha ujinga.
 
Back
Top Bottom