😂😂😂😂 mule mule
Kunyimwa mchezo is not for the weak 😂
😂😂😂😂 mule mule
Anaenda kufanywa vile ambavyo muendesha skaveta hamfanyagi🤣
Hapana dada kinachoniuma,huyo bwana ake mkoani ananizidi nini,huku kazini nalipwa 6 million kwa mwezi,ila namini atarudi acha akajufunze
Hapo ndo panapoumaga mwanaume anaweza kuwapa wote akakunyima wewe tu 🤣Kunyimwa mchezo is not for the weak 😂
Shadeeya hivi umeshindwa kabisa kunifanya kama hivi, nishindwe kuishi bila weweroho inaniuma sana nataka nikajiue siwezi kuishi bila yeye wanangu nisaidieni, nampendaaa sana imebaki TU kichwani namba yake ya halotel inaishia na 9829
Na hela kaliwa
Hapo ndo panapoumaga mwanaume anaweza kuwapa wote akakunyima wewe tu 🤣
Aisee jamaa kanyimwa hafu bikra anaenda kutoa mshkaji kijijini huko na ukute hata laki hajawahi kutoa.😁Anaenda kufanywa vile ambavyo muendesha skaveta hamfanyagi🤣
Kwa nini k unaita mzigo?Kinachokuuma hapo ni hujawahi kupewa mzigo na ile idea kwamba anaenda kupewa jamaa mwingine
Pole
Kuna mwaka flani niliachwa na kutiwa block. Nikawa nasajiri laini mpya hata 5 kwa siku..yaan akiblock naenda kwa wakala mwingine nasajiri nyingine nampigia..akisikia sauti yangu anatia block na mm siachi nabadirisha wakala wa kusajiri, nasajiri nyingine. Hivyohivyo mpaka pale moyo ulivyochoka na maumivu na manyanyaso ndo nikakubali na kuamini kwamba kweli sihitajiki tena. Nikaacha kusajiri line za simu na kuendelea na maisha mengine. Kuachwa na kutiwa block kunauma😅😂😂😂 na bora hata angeonjeshwa hata mara moja ili angalau abaki na faraja ya kuonjeshwa 😂
Yeye hakuna alichopewa zaidi ya block😭
😂😂😂. Ulikuwa unampa ya kazi gani sasa, baadala ya kusaidia wazazi wako, umekomaa na mang'amung'amu.Sawa anko nimekuelewa sana,ila kusema Mimi nilikuwa natoa vijisenti hiyo dharau sana Mimi siyo wa vijisenti mie nalipwa mil 6 kwa mwezi na posho ya kila km Moja ya Barbara nalipwa laki nne hiyo nje ya mshahara,demu wangu Khadija nilikuwa nampa ml 3 kila mwezi,kwa hiyo bro tueshimiane
Kuna wakati moyo unamfanya mtu afanye maamuzi ya ajabu sanaKuna mwaka flani niliachwa na kutiwa block. Nikawa nasajiri laini mpya hata 5 kwa siku..yaan akiblock naenda kwa wakala mwingine nasajiri nyingine nampigia..akisikia sauti yangu anatia block na mm siachi nabadirisha wakala wa kusajiri, nasajiri nyingine. Hivyohivyo mpaka pale moyo ulivyochoka na maumivu na manyanyaso ndo nikakubali na kuamini kwamba kweli sihitajiki tena. Nikaacha kusajiri line za simu na kuendelea na maisha mengine. Kuachwa na kutiwa block kunauma😅
🤣🤣 aende mombasa akajaribu bahati yake😂😂😂 na bora hata angeonjeshwa hata mara moja ili angalau abaki na faraja ya kuonjeshwa 😂
Yeye hakuna alichopewa zaidi ya block😭
🤣 sio poa unaambiwaAisee jamaa kanyimwa hafu bikra anaenda kutoa mshkaji kijijini huko na ukute hata laki hajawahi kutoa.😁
Why Mombasa? 😂🤣🤣 aende mombasa akajaribu bahati yake
Wanawake ni mara chache sana kupata block kutoka kwa wanaume. Wanawake ndo vinara wakulima block masela so yawezekana usijekuipata ila wewe ukamlima mchizi block.Kwenu ni kawaida na nahisi inasababushwa na ung'ang'aniaji wa sisi wanaume ni kama huwa hatuamini tumeachwa au labda tukibembeleza mwanamke atarudi kumbe mwenzio kaamua na anaona kero unavyojipigisha simu kulialia. Anakutia block tu kuepusha usumbufu.😁Kuna wakati moyo unamfanya mtu afanye maamuzi ya ajabu sana
Lakini cha kushukuru ni tuna-move on na maumivu huwa yanapungua
Sijawahi kuexperience block hata mara moja,nadhani ni maumivu ikitokea hivyo siku
Kati ya mapenzi na kulipwa mshahara trh 45 badala ya tareh 28 kwa sisi wa praivet sekta, kipi kinauma?Hapo ndo panapoumaga mwanaume anaweza kuwapa wote akakunyima wewe tu 🤣
Kinachonifanya nifike level ya kublock mtu ni tusi tu basiWanawake ni mara chache sana kupata block kutoka kwa wanaume. Wanawake ndo vinara wakulima block masela so yawezekana usijekuipata ila wewe ukamlima mchizi block.Kwenu ni kawaida na nahisi inasababushwa na ung'ang'aniaji wa sisi wanaume ni kama huwa hatuamini tumeachwa au labda tukibembeleza mwanamke atarudi kumbe mwenzio kaamua na anaona kero unavyojipigisha simu kulialia. Anakutia block tu kuepusha usumbufu.😁
Sasa sisi tukusaidie lipiWazee inakuejee mabibi inakueje,
Mimi ni muendesha katapila aka Greda aka skaveta, nimekuja mnisaidie Mimi Kuna demu nikikutana naye Dar anaitwa Khadija aka kimodoo, ulikuwa mwaka juzi ametoka kumaliza form six, sasa nikatupia swaga mtoto akakubali sababu Mimi ni mnyamwezi
Penzi likanogaa, sasa kinachoniuma kumbe alikuwa na mchumba huko mkoani, kwao Igunga, alikuwa anasubiri amalize shule amuoe, kibaya zaidi Mimi nimewekeza kila kitu kwake hela nimempa za kutosha na shoo akawa ananinyima akinambia yeye ni bikra nisubiri muda ufike atanipa😭😭😭
Sasa hivi ameondoka Dar na nikimpigia ameniblock, roho inaniuma sana nataka nikajiue siwezi kuishi bila yeye wanangu nisaidieni, nampendaaa sana imebaki TU kichwani namba yake ya halotel inaishia na 9829