Mapenzi yanatesa sana

Mapenzi yanatesa sana

Mapenzi yatawaua vijana 😂😂💔💔

Eti anatishia kukuacha kisa hujamtimizia Lengo fulan.

Ukiona Mwanamke anakuendesha namna hii jua mzani wa mapenz umeelemea upande mmoja.
Mwanaume huyo hapendwi.

Na Mwanaume huyo Analazimisha penz kwa kuhonga na kutoa ahad ambazo ziko juu ya uwezo wake.
Ili tu apate penz la huyo mwanamke.

Ni utoto huu. Na ushamba wa Mapenzi.
 
Eti anatishia kukuacha kisa hujamtimizia Lengo fulan.
Si amuache! Kuna watu wana muda wa kubembeleza aisee😅
Ukiona Mwanamke anakuendesha namna hii jua mzani wa mapenz umeelemea upande mmoja.
Mwanaume huyo hapendwi.
Wanawake tuna uwezo mkubwa tu wakupenda tena tunanyenyekea balaa, ujeuri wote pembeni sa huyu sjui vp
Na Mwanaume huyo Analazimisha penz kwa kuhonga na kutoa ahad ambazo ziko juu ya uwezo wake.
Ili tu apate penz la huyo mwanamke.

Ni utoto huu. Na ushamba wa Mapenzi.
Kwani ukiwa na mpenzi lazima utoe kitu ili uexperience penzi? Ameamua tu kutoa kwa mapenzi yake mwenyew huenda alizama kwenye wrong tundu 😂

Kwakweli ni ushamba shem lake😃💃🏽
 
Si amuache! Kuna watu wana muda wa kubembeleza aisee😅

Wanawake tuna uwezo mkubwa tu wakupenda tena tunanyenyekea balaa, ujeuri wote pembeni sa huyu sjui vp

Kwani ukiwa na mpenzi lazima utoe kitu ili uexperience penzi? Ameamua tu kutoa kwa mapenzi yake mwenyew huenda alizama kwenye wrong tundu 😂

Kwakweli ni ushamba shem lake😃💃🏽
Dah mama ushauri kwenye wan n tuuuz🤓🤓. Ulistahili kupewa kitengo pale wizara ya ustawi wa jamii📍📍🤪
 
Yani mkaka wa watu anajituma kumhudumia mdada.

Alaf all in all anakutishia atakuacha.kisa na maana kuna lengo fulan hujamtimizia.

Ata yale umefnyia hakumbuk.yaan kwa nn mna tutesa hivi.
Sio mapenzi ni upumbavu
 
Kama hujamuoa usimuhudie kila mtu ashinde mechi zake vijana inabidi tuwape tuishieniiii kabisa na bakora juu ukimuonga unamuendekeza utajua vp uhalisia wake
 
Back
Top Bottom