Hilo ndilo jibu lao hao watoto wa UDOM na sijui wanafundishana au vipi?
.
.
Mimi pia nimewahi kuwa muhanga wa jibu hilo,nilidata si mchezo ila nikamove on.....kwa muda sikuhitaji mahusiano.....nilitafuta pesa na maisha kwa nguvu nyingi.
Baada ya miaka kadhaa tulikutana nae huhuhuhuh alikuwa choka mbaya,nikampa lift hadi home kwao baada ya siku kadhaa akaanza kusumbua turudiane kitu ambacho kisingewezekana.
Ushauri;Tafuta hela achana nae,atarudi tu kwa magoti siku moja
Hicho kingereza kina makosa kibao, nafikiri yupo form two usimlaumuNdo umeandika manini sasa?....Kwani ukiandika kiswahili tu unaona nini?
.
.
Kilikuja kwa meli.
Hata hivyo limewahi niomba nilikopeshe.....sijui hata lingenilipa nini labda mavuazi,nikamwambia usinizoee bwege weeAisee ungempa na hela ya kulaa mbwa huyooo...
pole sn dogoWakubwa zangu Heshima kwenu,
Mimi kijana wenu nimejikuta nikiwa kwenye hali ngumu saana ambayo nadhani sijawahi kukutana nayo kabla, ni baada ya kuangukia kwenye penzi zito na Binti mmoja akiwa ndo amemaliza masomo yake Hapa Dodoma!
Kiukweli Leo amenitumia text yake moja amabayo mpaka sasa hivi nahisi kama siyo yangu lakini ni yangu kumbe kaaabaisaaa! Daah Ananiambia kwamba mimi sio type yake hivyo tu yani daaah (sitaki kuamini umbo langu ndo tatizo maana nnaumbo kidogodogo kiasi) aaaaaargh inauma saaaana saaana tena saaana, yani nmeshindwa hata kumjibu chochote mpaka sasa, Kwa upande wangu napenda sana, nisiwe mnafki tena namuhitaji sana tu lakini ndo kwanza katika future lakini ndo nimemaliza chuo mwaka huu Bado sijaeleweleka kimazingira nyie wenyewe mnajua hali halisi.
Wakubwa nawaheshimu sana ndo maana naomba mawazo yenu sijui nifanye nini mimi sielewi kabisa yani mpaka sasa sina chaku muuliza wala kumjibu hata alichoniambia kama sikielewei yani sijui sijui. Msinaidie mawazo mimi mdogo wenu jamani kabla sijapotea.
Please Yu.... Utaniua jamani daaah
take a time out, pumzika maisha yaendeleeHakukuwa na chochote kikubwa narudia tena hakukuwa na chochote! Ila tu siku hiyo aliacha kupokea simu zangu mpaka kesho ndo katika kumuuliza akanirushia hilo Bomu
Mkuu unataka kufa kwaajili ya mapenzi? You can't be serious,move on.....maisha changamoto nikawaida sana you never no cos huwezi force mapenzi ukaanza kuteseka wakati upo kwenye ndoa,shukuru imetokea mapema.Wakubwa zangu Heshima kwenu,
Mimi kijana wenu nimejikuta nikiwa kwenye hali ngumu saana ambayo nadhani sijawahi kukutana nayo kabla, ni baada ya kuangukia kwenye penzi zito na Binti mmoja akiwa ndo amemaliza masomo yake Hapa Dodoma!
Kiukweli Leo amenitumia text yake moja amabayo mpaka sasa hivi nahisi kama siyo yangu lakini ni yangu kumbe kaaabaisaaa! Daah Ananiambia kwamba mimi sio type yake hivyo tu yani daaah (sitaki kuamini umbo langu ndo tatizo maana nnaumbo kidogodogo kiasi) aaaaaargh inauma saaaana saaana tena saaana, yani nmeshindwa hata kumjibu chochote mpaka sasa, Kwa upande wangu napenda sana, nisiwe mnafki tena namuhitaji sana tu lakini ndo kwanza katika future lakini ndo nimemaliza chuo mwaka huu Bado sijaeleweleka kimazingira nyie wenyewe mnajua hali halisi.
Wakubwa nawaheshimu sana ndo maana naomba mawazo yenu sijui nifanye nini mimi sielewi kabisa yani mpaka sasa sina chaku muuliza wala kumjibu hata alichoniambia kama sikielewei yani sijui sijui. Msinaidie mawazo mimi mdogo wenu jamani kabla sijapotea.
Please Yu.... Utaniua jamani daaah
Nashukuru mkuu, ndo maana nilileta huku mnisaidieMkuu unataka kufa kwaajili ya mapenzi? You can't be serious,move on.....maisha changamoto nikawaida sana you never no cos huwezi force mapenzi ukaanza kuteseka wakati upo kwenye ndoa,shukuru imetokea mapema.
Hata mimi kuna fala mmoja wa huko kwenu babati alinifanyia vitukoWeka effort kwenye kutafuta kazii na hela uwe busy utamsahau
Kwa msg uliyoambiwa we songa mbele tu atakutafuta mwenyew huko mbelen wkt huo ushampata mwingine
Mjomba ebu anza kwa ku-improve jinsi unavyoandika tu, yani haioneshi kama umemaliza chuo kwa uandishi huo. Na nna mashaka na muonekano wako pia kama uandishi tu uko ivyo. Una mambo mengi ya kubadili wewe kama wewe kisha uanze kufikiria kumbadili yeye akili yake. Jipende na ujiendeleze kwa kila sector, mapenzi hayatakutesa kamwe. Anza na mindset yako.
Wanaume mtajifunza lini lakini? Mapenzi ya chuo ni machache sana huishia ndoa. Baada ya kuhitimu chuo wanawake hufikiria zaidi kuolewa wakati wanaume hufikiria zaidi kujijenga kimaisha.
Wanawake huwa tunaangalia umri na mafanikio, hivyo huwa tunawaza "hivi huyu hadi aje apate kazi na asimame kimaisha si balaa"!! Ndio akitokea mwenye mafanikio zaidi yako kuachwa ni given hata kama ulikuwa unapendwa.
Mkuu wewe hata usimbembeleze huyo mwanamke, ikibidi hata huo ujumbe usijibu, futa kila kitu kinachomuhusu, anza upya maana sio mwisho wa maisha. Anaekupenda kwa dhati na kukuhitaji katika maisha yake hawezi kukufanyia huo upuuzi.
Poa mkuu,hizo changamoto ni kawaida,mshukuru Mungu kakuonyesha hili mapema, kuliko ungekuwa umeshaweka ndani.....just relax MUNGU atakupa haja ya moyo wakoNashukuru mkuu, ndo maana nilileta huku mnisaidie
Weka namba yake hapa " nimshauri mrudiane " mimi nimtaalamu wa masuala ya ushauri wa mahusiano na uchumi " nime graduate na dr.criss mahukimwili tu wenye urefu wa ft 5.7 lakini sitaki kuamini inaweza kuwa ni sababu
HahaaNipe no yake niongee naye Mimi kama mkubwa wako naamini atanielewa, Si unaamini penye mkubwa hapaharibiki kitu?
Basii we nipe tu namba yake " ilinimshauri aachane na hiyo tabia mbayahahahah hapana sitaki tena turudiane naye nimeachwa na nimeachika
Duh !!! Kweli Jf haifai " umeshafuata mpaka na ushauri mara hii ".... ndio maana Diwali me Wangu ajiunge na hii platformkila kitu nimefuta jana kama wakubwa walivyonishauri mkuu sorry.