Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Naomba nitoe ushauri kwa Miriam kama Babu DC!!
1. Kama unapenda mwenyewe kutoa mimba..basi katoe (at your own risk)! Ila kama hupendi basi usithubutu. Akizidi kukulazimisha chukua pesa uzitie ndani kwani hiyo itakuwa ndiyo pay yako ya mwisho toka kwake!!
Na kama umeamua kutokubaliana na matakwa yake ya kutoa mimba, basi kaa mbali naye...Wengine ni wataalamu sana. Anaweza kukodisha vijana wa kazi na ukija kuamka ukajikuta huna hiyo mimba tena...Tumeyaona na kuyashuhudia kwa macho yetu haya haya, ingawa sasa yanaona kwa kutumia msaada wa watu wa marekani!!
2. Futa maneno yako hayo eti bado unampenda....Naomba niishie hapo kwani inakaribia kunitia hasira.
Mtu keshakutumia kiasi cha kutosha na mwisho kakueleza kuwa wewe ulikuwa ni shea ya nyongeza...halafu unadai eti bado unampenda. Tena bila aibu unasema unampenda sana!! Duniani hakuna kupenda...kuna suala la kuangalia maslahi.. Sasa imeshakula kula kwako..Anza upya na Mungu akiwa upande wako basi utapata mtu mwingine muanze tena mchakato wa kudanganya!!
3. Jaribu kujiandaa kwa kadhia ya kuwa single parent...Sitaki kueleza mengi ila uwe tayari hata kutoolewa kwa sababu ya mtoto wako.
Pole sana na nakutakia kila la heri,
Babu DC
1. Kama unapenda mwenyewe kutoa mimba..basi katoe (at your own risk)! Ila kama hupendi basi usithubutu. Akizidi kukulazimisha chukua pesa uzitie ndani kwani hiyo itakuwa ndiyo pay yako ya mwisho toka kwake!!
Na kama umeamua kutokubaliana na matakwa yake ya kutoa mimba, basi kaa mbali naye...Wengine ni wataalamu sana. Anaweza kukodisha vijana wa kazi na ukija kuamka ukajikuta huna hiyo mimba tena...Tumeyaona na kuyashuhudia kwa macho yetu haya haya, ingawa sasa yanaona kwa kutumia msaada wa watu wa marekani!!
2. Futa maneno yako hayo eti bado unampenda....Naomba niishie hapo kwani inakaribia kunitia hasira.
Mtu keshakutumia kiasi cha kutosha na mwisho kakueleza kuwa wewe ulikuwa ni shea ya nyongeza...halafu unadai eti bado unampenda. Tena bila aibu unasema unampenda sana!! Duniani hakuna kupenda...kuna suala la kuangalia maslahi.. Sasa imeshakula kula kwako..Anza upya na Mungu akiwa upande wako basi utapata mtu mwingine muanze tena mchakato wa kudanganya!!
3. Jaribu kujiandaa kwa kadhia ya kuwa single parent...Sitaki kueleza mengi ila uwe tayari hata kutoolewa kwa sababu ya mtoto wako.
Pole sana na nakutakia kila la heri,
Babu DC