Mapenzi yananitesa mwenzenu

Mapenzi yananitesa mwenzenu

Status
Not open for further replies.
Taifa la ajabu ni lilo maskini likiwa na rasilimali zote.
Mkuu hapana, wakipendana waende kanisani au msiktini waoane....sio kuzaa tu watoto wa uzinifu....tutakua taifa la Ajabu...Shida sahv watu tamaa za Ngono kwao ndo wanaita upendo &mapenzi...
 
Nyie mwenzenu mapenzi yananitesa sana nikisema niyaache niwe single nafall tena kama kuna mshauri anisaidie ntakufa ety

Iko hivi yani sijawahi kubahatika na mahusiano toka nianze kuyajua yan kila siku nalizwa mm tu the bad thing nikipenda mtu natumbukia miguu yote
Sema jina lako la ukweli maana kuna demu hapa mtaani kwetu alinipenda ila mimi sijawahi kumpenda hata siku moja maana hatuendani hata kidogo.
 
Nilichojifunza hii dunia si Kwa ajili ya watu wema, ukijifanya unajua mapenzi utaumia...we ukipata nafasi ya kumpiga mtu tukio, mpige tukio.
Maisha ni mafupi sana kukaa kulilia mapenzi.
kwakwel
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom