Mapenzi yananichanganya

Pole dada yangu mpendwa, ukubwa ni jalala bado utakutana na mengi:milima, viunzi, vihoja, vizuizi,vituko,mateso,mishtuko e.t.c as long as you are living!!.......am wishing you joy and happiness!
 
Ttz najiuliza nitaweza kumpenda kweli kama mpenzi wangu coz mm nilikuwa namchukuli like friend tu
Kumbuka mapenzi huanza na urafiki, pili usikubali kwenda nchi za watu kichwa kichwa, kuna kikwazo gani cha yeye kuja Bongo na kufuata taratibu, akakuchukua mkaenda kuishi huko mkitambulika rasmi.
Hivi ushajiuliza unaenda huko ukiwa kama nani kwake?
Una uhakika gani hawezi kukutumia na kukutekeleza huko kwa watu?
KUWA MAKINI NA UAMUZI UTAKAOCHUKUA.
 
kumpenda mtu inatokana na ukaribu na mazoea... mkiwa hivyo kwa muda hata kama humpendi utajikuta chembe chembe za upendo zinaanza..!!!
Natamani haya unayoandika iwe kweli
 
Thanks for advice,bt nilisahu kusema kuwa yy ndo atanifuta huku,bt siwez kuwambia wazazi kuwa ni rafiki wa kiume hawatonielewa kwenda kuishi na mwanaume hata mahari ajatoa,sema ni mapema sanaa kuongelea ishu za mahari so mm nimewambia nirfiki wa kike bt ndugu zangu (kaka na dada)ndo nimewambia kuwa ni boyfriend
 
Sawa, ila kwa mimi nionavyo huyo kijana humpendi, bali uko tayari kujilipua kwenda kuishi nae sababu huna ajira au kazi ya kufanya. Jishuhulishe acha kua tegemezi then ukiwa independent na still bado mkawa rafiki, maamuzi utakayochukua naamini hayatokuwa influenced na jambo fulani.
We hujiulizi kwanini unaona guilt kwenda kuishi nae huko?
Hivi lingekua jambo la heri ungefeel guilt hivyo?
Usiharakie maisha. (Mawazo yangu)
 
Mpendwa akipendwa asipende akija kupenda hapendwi! Ukipendwa na we penda acha mapozi mfu!!
 
Yani niko njia panda sometimes naona bora niende ili anifundishe hz biashara ikiwezekana anipe na mtaji afu nimpotezee......bt ikitokea nikawez kumpenda then tuanzishe mahusiano.....bt cjui nitamkwepaje asile ppuchi coz kama nikienda nitafikia kwake and tulala room moja sasa kumkwepa cjui itakuwaje
 
Unae mpenda wewe unamjua ila akupendae humjui
 
Binti naona maisha yanakuchanganya hebu kaa tuliza akili, hujachelewa, usifikiri kuna kitu cha bure kwenye hii dunia, anaweza akachakaza papuchi yako na ukarudi Bongo na ndala. Kwanini usitumie akili ulizopewa na nguvu kujipatia kipato?
Hivi unajifunzaga kweli kwa watu waliofanikiwa kwa juhudi na nguvu walizotumia zikionekana wazi (ambao hawakutegemea kuchuna mabuzi).
Tulia tafuta kitu cha kufanya, na wewe uwe na maisha yako, na pia kama ndiye Mungu aliyekupangia atakua wako tuu. Hata bila kuchuna mwanaume (kama unavyowaza) unaweza kufanikiwa.
 
Sawa nimekuelewa mkuu.... nitaufanyia kazi ushauri wako.. shukrani
 
Achana na mwenye maringo, utalia kila siku.. Tena mtupilie mbali, ukipendwa utapenda tuu, wanawake tunajifunza kupenda sana tuu, mie yule kaka ambae haku show interest kwangu when I was craving for his love nishamtupia kwene dustbin and I'm happy. Stay with someone who loves u, uta enjoy kikubwa badili attitude yako. Hata usipoenda nje kwa huyo kaka ushauri wangu ni ule ule, penda unapopendwa..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…