Mapenzi yanahitaji afya na afya inaletwa na chakula, karibuni

Mapenzi yanahitaji afya na afya inaletwa na chakula, karibuni

ONLY kwa wanaume wa daslam...'kachakula' gani ugali ni sawa na tonge moja?

Aisee endeleeni kumantain figa watoto wa kiume!
 
Wapi makande, chips yai, Pweza, Urojo, ndizi?
 
Sema nikutumie kwa DHL
DHL hawasafirishi vyakula tens kama unga ndo usiseme. nilienda wakasema vyakula vina usumbufu sana na ikitokea wakasafirisha basi mpokeaji lazima asumbuke sana maana itabidi mamlaka ya chakula wakapime.nilitaka kutuma unga na Dagaa.

bei zao nazo balaa
labda utume kilo kidogo
 
DHL hawasafirishi vyakula tens kama unga ndo usiseme. nilienda wakasema vyakula vina usumbufu sana na ikitokea wakasafirisha basi mpokeaji lazima asumbuke sana maana itabidi mamlaka ya chakula wakapime.nilitaka kutuma unga na Dagaa.

bei zao nazo balaa
labda utume kilo kidogo
We nae ulizidi ulitaka utume mpaka unga na dagaa?
 
image.jpeg
 
Back
Top Bottom