mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,793
- 7,165
Wana JF,
Juzi kuamkia jana kumetokea ajali mbaya Boko darajani kati ya dereva wa gari dogo na bodaboda, chanzo cha ajali ni dreva wa boda boda kuovatake na kwenda kumbolock mwendesha gari dogo kufuatia maelelekezo ya mteja wake ambaye anaitwa Monika (Mchaga) ambaye alimwambia akimbize pikipiki awahi kumbana mpenzi wake.
Awali ya yote , inasemekana Monika alikuwa na huyu dreva wa gari dogo wakinywa na kufurahia wakiwa baa moja maarufu Kunduchi Beach karibu na Chuo cha kijeshi, baadaye walizozana na kila mtu kukaa peke yake, baada ya saa kadhaa, yule dreva wa gari dogo akaamua kurudi nyumbani kwake Boko.
Inasemekana alionekana kuongea na mtu kwenye simu kama vile wana miadi, Monika kuona hivyo akaanza kumfatilia, ndipo walipofika eneo la darajani Monika akataka kumwonyesha bwana undava kwa kuovertake ili ambane ajue yupo na nani ndani ya gari, hapo ndipo dreva akaongeza mwendo jambo ambalo lilimfanya kuyumba na kuwapalamia na kugonga daraja wapanda pikipiki wakaanguka wote na kusukumizwa mpaka kutumbukia ndani ya daraja.
Tayari dreva bodaboda ashazikwa.
Juzi kuamkia jana kumetokea ajali mbaya Boko darajani kati ya dereva wa gari dogo na bodaboda, chanzo cha ajali ni dreva wa boda boda kuovatake na kwenda kumbolock mwendesha gari dogo kufuatia maelelekezo ya mteja wake ambaye anaitwa Monika (Mchaga) ambaye alimwambia akimbize pikipiki awahi kumbana mpenzi wake.
Awali ya yote , inasemekana Monika alikuwa na huyu dreva wa gari dogo wakinywa na kufurahia wakiwa baa moja maarufu Kunduchi Beach karibu na Chuo cha kijeshi, baadaye walizozana na kila mtu kukaa peke yake, baada ya saa kadhaa, yule dreva wa gari dogo akaamua kurudi nyumbani kwake Boko.
Inasemekana alionekana kuongea na mtu kwenye simu kama vile wana miadi, Monika kuona hivyo akaanza kumfatilia, ndipo walipofika eneo la darajani Monika akataka kumwonyesha bwana undava kwa kuovertake ili ambane ajue yupo na nani ndani ya gari, hapo ndipo dreva akaongeza mwendo jambo ambalo lilimfanya kuyumba na kuwapalamia na kugonga daraja wapanda pikipiki wakaanguka wote na kusukumizwa mpaka kutumbukia ndani ya daraja.
Tayari dreva bodaboda ashazikwa.