Usiogope kuanza moja, huko ndiko kujifunza na huo ni ukomavuAcha tu Mkuu... But unajikuta ushakainclude kwa future inakuwa ka unafanya mark time...
karibu sanaMshipa wa mapenzi umekata kabsa.. Naskia Baridi tu.. Ngoja nijiuguze ntarudi tena mkuu..
Weka hiyo audio basiPicha hakuna mkuu.. Kuna audio tu....
Si uchoyo Mkuu.. Umri wangu Umefika sehemu I must have a perfect future partner.. for marriage but ndo ivo unachangia kodi mwenzio akae comfortable... Yeye anageuza guest room..ts very painful bora hata Ningekuwa namchukulia poa...usiwe mchoyo
NIMPENDENANI umeona nilivyosema ni sikio la kufa halisikii dawa?Ucku wa jana ulikuwa mgumu... Sijamuuliza bado.. Ila natamani nimtumie hizi audios... Halafu siulizi kitu..
haujambo Moniccer?Duuuuh!! Hatareee cpat picha ulivokuwa unaisikilizia voice yake ulikuwa kweny hali gan mkuu,ila usimuulize wala nn Fanya yako