ChizzoDrama
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 1,317
- 1,235
Mambo zenu,
Nimeona tu-share experience.
Kiukweli nimelelewa katika maadili mazuri na wazazi wangu pia wakubwa wangu katika familia yetu ni watu ambao ni mifano ya kuigwa.
Ni kweli nina heshima sana kwa watu wa rika zote na ninaonekana kijana smart na miongoni mwa vijana tunaojielewa sana hapa mtaani, lakini wengi wananitizama hivyo kwakuwa nimesoma kidogo lakini sina makundi kama vijana wengine.
Mwaka 2016 niliachana na mpenzi wangu ambaye kiuhalisia ni msichana ninaye mpenda tangu utoto wangu, na hii ilikuwa baada ya yeye kwenda chuo huko mkoani Arusha ndipo ikaanza (LONG DISTANCE RELATIONSHIP). Tulienda na hiyo lakini ikafika time mapenzi yakakosa mvuto kutokana na yeye kutotaka kurudi pale alipopata likizo.
Nakumbuka nilianza kuona mabadiliko ya kimawasiliano hivyo nikaanza kujitoa taratibu ili kuepuka maumivu makali siku akiniacha. Basi nakumbuka siku moja mishale ya saa 2 usiku iliingia message ikisomeka hivi: "NAOMBA USINITAFUTE, NIPO KWENYE MAHUSIANO SERIOUS". Nilikuwa barabarani na nakumbuka niliwaza hata kujirusha ili nigongwe na gari lakini nashukuru Muumba aliniepusha na hili.
Pia nakumbuka ndiyo ilikuwa siku yangu ya kwanza kuvuta bangi. Nakumbuka machozi yalikuwa yakinitoka taratibu nikiwa njiani nikaghairi kurudi nyumbani nikaenda katika bar moja, nikaagiza vinywaji vikali kisha nilipomaliza hapo nijaenda katika vijiwe vya bhangi ambavyo obvious vinafahamika na kila mwana mtaa.
Nakumbuka nilivuta sana kisha nikarudi zangu home baada ya hapo niliamua kuishi pekee, bila ya marafiki wengi na wanawake kabisa.
Basi nikaanza tabia ya kila jioni lazima nijisogeze kwenye bar za uchochoroni kupata moja mbili, na nilikuwa naingia bar zilizojficha ili kukwepa watu wanao niona kama mtu wa maana kumbe wakati huo mimi najiona mtu nisiye na maana.
Ikawa hivyo sasa, malaya wengi wakawa katika mzunguko wangu, muda mwingi nikajikuta nalala nao hovyo hovyo. Na ama ujuavyo malaya hawanaga nongwa, leo unalala na huyu, kesho yule, mchana huyu, usiku yule. Siyo siri, watoto wanayaweza sanaa pia wanajiachia mpaka raha.
Sasa imefika wakati ngono imekuwa kama kilevi kwangu, yaani karibu kila siku lazima nifanye ngono na malaya tofauti.
Imefika wakati napenda bangi na pombe zaidi ya sana, na msimamo wangu umebaki ule ule, sihitaji marafiki.
Kiukweli stress zimenitoka kabisa siku hizi. Hata juzi kati nimekutana na huyo msichana aliyeniacha nikakuta hata sishtuki, nikampungia mkono tu kisha nikaendelea na safari zangu.
Kwa nilivyo muona, alikuwa ni mtu aliyehitaji nimpe hata dakika 5 za mazungumzo lakini haikuwa hivyo. Nilikuwa sizioni status zake za WhatsApp kwa miaka kama mitatu ila kwa kuwa mimi sikufuta namba yake najikuta nimeanza kuziona inamaanisha amei-save tena namba yangu ila angejua hata mpango wa kuwa kwenye mahusiano sina.
Pombe, ngono na bangi ni wamekuwa washkaji zangu sana. Ukiwaona hao ujue na mimi nipo.
Life Goes On by 2Pac is my one of my favorite songs ever.
Let every rapper rock at my funeral
Let those hoes I used to know from way before
Kiss from head to my toes
Karibuni K-VANT pembeni tonic na limao, sina muda.
Nimeona tu-share experience.
Kiukweli nimelelewa katika maadili mazuri na wazazi wangu pia wakubwa wangu katika familia yetu ni watu ambao ni mifano ya kuigwa.
Ni kweli nina heshima sana kwa watu wa rika zote na ninaonekana kijana smart na miongoni mwa vijana tunaojielewa sana hapa mtaani, lakini wengi wananitizama hivyo kwakuwa nimesoma kidogo lakini sina makundi kama vijana wengine.
Mwaka 2016 niliachana na mpenzi wangu ambaye kiuhalisia ni msichana ninaye mpenda tangu utoto wangu, na hii ilikuwa baada ya yeye kwenda chuo huko mkoani Arusha ndipo ikaanza (LONG DISTANCE RELATIONSHIP). Tulienda na hiyo lakini ikafika time mapenzi yakakosa mvuto kutokana na yeye kutotaka kurudi pale alipopata likizo.
Nakumbuka nilianza kuona mabadiliko ya kimawasiliano hivyo nikaanza kujitoa taratibu ili kuepuka maumivu makali siku akiniacha. Basi nakumbuka siku moja mishale ya saa 2 usiku iliingia message ikisomeka hivi: "NAOMBA USINITAFUTE, NIPO KWENYE MAHUSIANO SERIOUS". Nilikuwa barabarani na nakumbuka niliwaza hata kujirusha ili nigongwe na gari lakini nashukuru Muumba aliniepusha na hili.
Pia nakumbuka ndiyo ilikuwa siku yangu ya kwanza kuvuta bangi. Nakumbuka machozi yalikuwa yakinitoka taratibu nikiwa njiani nikaghairi kurudi nyumbani nikaenda katika bar moja, nikaagiza vinywaji vikali kisha nilipomaliza hapo nijaenda katika vijiwe vya bhangi ambavyo obvious vinafahamika na kila mwana mtaa.
Nakumbuka nilivuta sana kisha nikarudi zangu home baada ya hapo niliamua kuishi pekee, bila ya marafiki wengi na wanawake kabisa.
Basi nikaanza tabia ya kila jioni lazima nijisogeze kwenye bar za uchochoroni kupata moja mbili, na nilikuwa naingia bar zilizojficha ili kukwepa watu wanao niona kama mtu wa maana kumbe wakati huo mimi najiona mtu nisiye na maana.
Ikawa hivyo sasa, malaya wengi wakawa katika mzunguko wangu, muda mwingi nikajikuta nalala nao hovyo hovyo. Na ama ujuavyo malaya hawanaga nongwa, leo unalala na huyu, kesho yule, mchana huyu, usiku yule. Siyo siri, watoto wanayaweza sanaa pia wanajiachia mpaka raha.
Sasa imefika wakati ngono imekuwa kama kilevi kwangu, yaani karibu kila siku lazima nifanye ngono na malaya tofauti.
Imefika wakati napenda bangi na pombe zaidi ya sana, na msimamo wangu umebaki ule ule, sihitaji marafiki.
Kiukweli stress zimenitoka kabisa siku hizi. Hata juzi kati nimekutana na huyo msichana aliyeniacha nikakuta hata sishtuki, nikampungia mkono tu kisha nikaendelea na safari zangu.
Kwa nilivyo muona, alikuwa ni mtu aliyehitaji nimpe hata dakika 5 za mazungumzo lakini haikuwa hivyo. Nilikuwa sizioni status zake za WhatsApp kwa miaka kama mitatu ila kwa kuwa mimi sikufuta namba yake najikuta nimeanza kuziona inamaanisha amei-save tena namba yangu ila angejua hata mpango wa kuwa kwenye mahusiano sina.
Pombe, ngono na bangi ni wamekuwa washkaji zangu sana. Ukiwaona hao ujue na mimi nipo.
Life Goes On by 2Pac is my one of my favorite songs ever.
Bury me smiling with Gs in my pocketLet every rapper rock at my funeral
Let those hoes I used to know from way before
Kiss from head to my toes
Karibuni K-VANT pembeni tonic na limao, sina muda.