Kuwa makini. Alikueleza changamoto za ndoa yake kama njia ya kukupooza tu. Kwa Mantiki hiyo, hana huruma. Na ninakuhakikishia kama ulimpa contact zako atakutafuta akutafune tu just kwa ulafi na si kama anakupenda. Kama alikuwa anakupenda angekushauri uendae shule na akulipie ada. Akupe condition kuwa ili akuoe ni lazima asome kwa bidii ili uwe mke wake msomi. Kitendo cha kukatia mawasiliano ghafla ni cha kinyama na ninakuhakikishia alikuwa na mtu tayari hata kama siyo huyo aliyemuoa. Watch out.Nilikutana nae akaanza kunihadithia changa moto za ndoa yake...mm nikampa pole nikamwanbia nipo chuo fulani aliumia na alijuta akaniambia kama angejua angenishaur nirud shule na anisubir. Maana ameoa lkn kama hajaoa
Every Man would tell you the same story! Hakunaga mume akutake akwambie ndoa yake iko stable, neverNilikutana nae akaanza kunihadithia changa moto za ndoa yake...mm nikampa pole nikamwanbia nipo chuo fulani aliumia na alijuta akaniambia kama angejua angenishaur nirud shule na anisubir. Maana ameoa lkn kama hajaoa
what you say may be its true. but I have already opened the doors to another relationship. Although I still need time to get to know each other better
οΏΌ
swali hiloooπππ[emoji849][emoji849][emoji849]
In the other language, applications are allowed.
Enhee...
Kwa hiyo?
Kuhusu kumsomesha hakuna kitu kama hicho wewe,mabaharia tulishakubaliana kuwa mchumba HASOMESHWI.wengi wamelizwa.Kuwa makini. Alikueleza changamoto za ndoa yake kama njia ya kukupooza tu. Kwa Mantiki hiyo, hana huruma. Na ninakuhakikishia kama ulimpa contact zako atakutafuta akutafune tu just kwa ulafi na si kama anakupenda. Kama alikuwa anakupenda angekushauri uendae shule na akulipie ada. Akupe condition kuwa ili akuoe ni lazima asome kwa bidii ili uwe mke wake msomi. Kitendo cha kukatia mawasiliano ghafla ni cha kinyama na ninakuhakikishia alikuwa na mtu tayari hata kama siyo huyo aliyemuoa. Watch out.
inaonekana ushatafunwa sanaNdio gia zao hizo wanaume,kuact kama wana ndoa chungu ili upate huruma wakutafune
Ni kweli
HujamPM kweli?Baby hapo mimi sihusiki, nilikuwa nawapa tip watu ambao wako interested.
Halafu unajua baada ya Man Utd kuanza kushinda umekuwa mtamu Sana!
Mwaka 2007 nilikutana na kijana mtanashati sana. Kweli nilimpenda sana sina uhakika kama na yeye alinipenda pia. Nilitoa muda wangu mwingi kwake. Lakini siku moja tu alikata kabisa mawasiliano na mimi. Kweli nililia sana nilichanganyikiwa sana. Nikafanikiwa kwenda nyumbani kwake maeneo ya Tabata aroma. Nikamuomba aniambie kwanini hapokei simu yangu.
Akaniambia kuwa mimi sijasoma na yeye alikuwa anataka kuoa msomi. Kiukweli nilijiunga na Qt nikasoma kwa bidii mpaka nikafanikiwa kufika kidato cha nne na hatimae kidato cha sita mwisho chuo. Namshukuru sana X wangu kwa kuniumiza maana yale maumivu ndio yamenifikisha hapa nilipo sasa.
Sio Vyeti tu, Na CV aambatanishe, bila kusahau Statement of Results zote, ili akaone na GPA pia.Mtafute mwambie ushakuwa msomi...sasa inakuwaje?
Usisahau kwenda na vyeti vyako