Heshima Yako Boss.Jitukane tusi moja kwa niaba yangu
Asanteepole wangu
Hahaaaa poleHeshima Yako Boss.
Nimejipiga Na Makofi Na Kufuta Wehu Wa Akili Za Usiku
Nilivyoona Username Yako Tu Nikapoa katoto kazuriHahaaaa pole
Haya tu bhana mamboNilivyoona Username Yako Tu Nikapoa katoto kazuri
hahaaa vyema mkuu. Uwe na jumapili njemaHeshima Yako Boss.
Nimejipiga Na Makofi Na Kufuta Wehu Wa Akili Za Usiku
Jitukane tusi moja kwa niaba yangu
Arusha town kifupi chugaaaPole shoo. Hao wanaume wachovu wanapatikana wapi?
Arusha town kifupi chugaaa
2011 tokea waanze kuzidisha vileoWameanza lini kuwa wachovu lakini hao jamani?
Mke akipata mtoto wa kiarabu na wote nyinyi ni wazaramo wa Manelumango unaambiwa hata shangazi wa baba yako Bi Mwanauwanu alikuwa hivihivi.bad tukaambiwa kitanda hakizai haram
zamani hiyo hiyo
2016Uliwaacha wakubwa wenzio wa zamani ukaansza kutest 2000's?