Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,306
Kwa umri wangu sikuwahi kuwa kwenye mahusiano ya kimahaba na mwanamke aliyenizidi umri mpaka mwaka huu nilipopata mama mwenye miaka 40 alimaarufu namba A. Mimi nina 27yrs, hakika naenjoy maana wana ladha tofauti kabisa
1. Wanajua mapenzi na ni wasafi wa kiwango cha SGR. Unakula tunda la grade 1, tofauti na hawa namba D maringo mengi, kucha ndefu, kwa bibi kumeoza yani mtoto nje mkali ila sasa ukimvua nguo lazima nguvu za kiume zipotee.
2. Siyo wasumbufu hata kidogo, mkipanga appointment hakika ni kwa wakati na hata akichelewa ana sababu ya maana. Hakuna zile sijui mama leo anaumwa sijui nimepata tumbo la period wala shangazi kapata corona.
3. Kwenye ushauri wa maisha wako vizuri sana. Nanufaika sana na uzoefu wao wa maisha. Hakika nimeupgrade from step 1 to step 3 financially mpaka mentally
4. Ni wachumi sana yani wanajua budget. Huwezi tapanya pesa ovyo bar sijui yule mupe yule muruke. Ukiwa naye aisee utapigwa jicho moja hakika halafu siyo kwamba bia yake ni safari akikuona una hela leo ataagiza savanna, Hapana!
5. Kwenye kupewa papuchi ni tani yako na papuchi yenye kiwango haina UTI wala Gonorrhea. Ufundi wa hali ya juu wanapiga miguu yote ni wewe tu.
6. Siyo wachunaji ila bata zao kidogo ni expensive. Zile guest house zetu za elfu tano na dume unapewa bure haziwafai.
Vijana tujaribu upande wa shilingi namba A. Body kidogo imeenda garage ila engine mpya kabisa.
1. Wanajua mapenzi na ni wasafi wa kiwango cha SGR. Unakula tunda la grade 1, tofauti na hawa namba D maringo mengi, kucha ndefu, kwa bibi kumeoza yani mtoto nje mkali ila sasa ukimvua nguo lazima nguvu za kiume zipotee.
2. Siyo wasumbufu hata kidogo, mkipanga appointment hakika ni kwa wakati na hata akichelewa ana sababu ya maana. Hakuna zile sijui mama leo anaumwa sijui nimepata tumbo la period wala shangazi kapata corona.
3. Kwenye ushauri wa maisha wako vizuri sana. Nanufaika sana na uzoefu wao wa maisha. Hakika nimeupgrade from step 1 to step 3 financially mpaka mentally
4. Ni wachumi sana yani wanajua budget. Huwezi tapanya pesa ovyo bar sijui yule mupe yule muruke. Ukiwa naye aisee utapigwa jicho moja hakika halafu siyo kwamba bia yake ni safari akikuona una hela leo ataagiza savanna, Hapana!
5. Kwenye kupewa papuchi ni tani yako na papuchi yenye kiwango haina UTI wala Gonorrhea. Ufundi wa hali ya juu wanapiga miguu yote ni wewe tu.
6. Siyo wachunaji ila bata zao kidogo ni expensive. Zile guest house zetu za elfu tano na dume unapewa bure haziwafai.
Vijana tujaribu upande wa shilingi namba A. Body kidogo imeenda garage ila engine mpya kabisa.