Nachagua Upendo badala ya Chuki. Mapenzi MatamušŸ˜

Nakadori

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
8,781
20,952
Leo nimeamka na mood za kutosha kwakweli.....then nikapita kwenye app ya mdada mmoja maarufu aliyekuwa ameelezea namna ya kufanya kwenye mahusiano unapokuwa na mwanaume ili aone upendo wako na how deep you are ili uuwini moyo wake ... jumlisha na hizi mvua za masika plus mziki niliokuwa nasikiliza dahh nikajikuta nimevusha kidogo.... kwangu mimi yale aliyoongea sijui ya kukumbatiana na kukiss muda wote kwakweli yalikuwa marudio tu.....

Ukiwa na mtu hata kwa moment fupi halikisha hakusahau kamwe...hata kama ikilazimu kuachana asiweze kukutoa moyoni... tengeneza moments Unique...
Mungu amekupa mikono miguu mdomo ulimi, pumzi na viungo vingine vyote vitumieee asee... make your home au popote mnapokuwa pamoja kuwa paradise....

Kwakweli ukimpata mnayeelewana na kuendana chemistry na biology mapenzi ni matamu sana
Mimi ni muumini wa mapenzi yale ya kikorea kabisaaaa... uko sokoni nshakukuna kuna kichwa au mgongo.... ..unakula nshakulisha... nshakukiss basi tu burdan

download (1).png

Haya wale wa matusi leo mje na mapya...nshawaambia choose love over hate...
 
Leo nimeamka na mood za kutosha kwakweli.....then nikapita kwenye app ya mdada mmoja maarufu aliyekuwa ameelezea namna ya kufanya kwenye mahusiano unapokuwa na mwanaume ili aone upendo wako na how deep you are ili uuwini moyo wake ... jumlisha na hizi mvua za masika plus mziki niliokuwa nasikiliza dahh nikajikuta nimevusha kidogo.... kwangu mimi yale aliyoongea sijui ya kukumbatiana na kukiss muda wote kwakweli yalikuwa marudio tu.....

Ukiwa na mtu hata kwa moment fupi halikisha hakusahau kamwe...hata kama ikilazimu kuachana asiweze kukutoa moyoni... tengeneza moments Unique...
Mungu amekupa mikono miguu mdomo ulimi, pumzi na viungo vingine vyote vitumieee asee... make your home au popote mnapokuwa pamoja kuwa paradise....

Kwakweli ukimpata mnayeelewana na kuendana chemistry na biology mapenzi ni matamu sana
Mimi ni muumini wa mapenzi yale ya kikorea kabisaaaa... uko sokoni nshakukuna kuna kichwa au mgongo.... ..unakula nshakulisha... nshakukiss basi tu burdan

View attachment 2559012
Haya wale wa matusi leo mje na mapya...nshawaambia choose love over hate...
Wewe ndiye unayajua Mapenzi sasa

Wengine waje chukua notes
 
I choose love over hate..

Nimeipenda hii hata kama ni dk 30, hakikisha hakusahau.

Naka kama naka šŸ¤£, sijawahi kukupinga damu yangu, na unalijua hilo ndugu yangu.
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Leo nimeamka na mood za kutosha kwakweli.....then nikapita kwenye app ya mdada mmoja maarufu aliyekuwa ameelezea namna ya kufanya kwenye mahusiano unapokuwa na mwanaume ili aone upendo wako na how deep you are ili uuwini moyo wake ... jumlisha na hizi mvua za masika plus mziki niliokuwa nasikiliza dahh nikajikuta nimevusha kidogo.... kwangu mimi yale aliyoongea sijui ya kukumbatiana na kukiss muda wote kwakweli yalikuwa marudio tu.....

Ukiwa na mtu hata kwa moment fupi halikisha hakusahau kamwe...hata kama ikilazimu kuachana asiweze kukutoa moyoni... tengeneza moments Unique...
Mungu amekupa mikono miguu mdomo ulimi, pumzi na viungo vingine vyote vitumieee asee... make your home au popote mnapokuwa pamoja kuwa paradise....

Kwakweli ukimpata mnayeelewana na kuendana chemistry na biology mapenzi ni matamu sana
Mimi ni muumini wa mapenzi yale ya kikorea kabisaaaa... uko sokoni nshakukuna kuna kichwa au mgongo.... ..unakula nshakulisha... nshakukiss basi tu burdan

View attachment 2559012
Haya wale wa matusi leo mje na mapya...nshawaambia choose love over hate...
SERIKALI ISIMAMIE ZOEZI HILI HATE NA BEUTIFUL HAWAWEZI KAA MEZA MOJA HADI WASULIHISHWE
 
I choose love over hate..

Nimeipenda hii hata kama ni dk 30, hakikisha hakusahau.

Naka kama naka šŸ¤£, sijawahi kukupinga damu yangu, na unalijua hilo ndugu yangu.
Udugu wangu šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£
Siku ntapandisha mashetani ya kimakonde nisimamishe jf dk 30 tu...
Hahahah
 
Leo nimeamka na mood za kutosha kwakweli.....then nikapita kwenye app ya mdada mmoja maarufu aliyekuwa ameelezea namna ya kufanya kwenye mahusiano unapokuwa na mwanaume ili aone upendo wako na how deep you are ili uuwini moyo wake ... jumlisha na hizi mvua za masika plus mziki niliokuwa nasikiliza dahh nikajikuta nimevusha kidogo.... kwangu mimi yale aliyoongea sijui ya kukumbatiana na kukiss muda wote kwakweli yalikuwa marudio tu.....

Ukiwa na mtu hata kwa moment fupi halikisha hakusahau kamwe...hata kama ikilazimu kuachana asiweze kukutoa moyoni... tengeneza moments Unique...
Mungu amekupa mikono miguu mdomo ulimi, pumzi na viungo vingine vyote vitumieee asee... make your home au popote mnapokuwa pamoja kuwa paradise....

Kwakweli ukimpata mnayeelewana na kuendana chemistry na biology mapenzi ni matamu sana
Mimi ni muumini wa mapenzi yale ya kikorea kabisaaaa... uko sokoni nshakukuna kuna kichwa au mgongo.... ..unakula nshakulisha... nshakukiss basi tu burdan

View attachment 2559012
Haya wale wa matusi leo mje na mapya...nshawaambia choose love over hate...
cb6d222a857fc9b00469c279f54f8151.jpg
 
Udugu wangu šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£
Siku ntapandisha mashetani ya kimakonde nisimamishe jf dk 30 tu...
Hahahah
Hahaa... mimi nitakushika sikio, na kuyatuliza mashetani yatulie, yasikuumize kiti..
šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£
 
Halafu moderator tuheshimiane jaman
Sasa why mnibadilishie uzi wangu?
 
Back
Top Bottom