Kulipia ni ufahar, kila day kila siku mtu alipie. Mkikutana pazur inaingia tu huku mnakuwa makn tena mapenz ya hivo matamu sana kama kuiba mtt wa get kali unamgongea kwao nyuma ya nyumbaHi guys,
Inashangaza mno, wakina kaka na wakina dada wenzangu bado mnafanya mapenzi ya vichochoroni. Juzi hapa narejea zangu kwa nyumba, usiku mitaa ya jirani nasikia zile kelele za watu wakifanya mapenzi pembeni kwa njia, vile nazidi sogea nikaona kaka kakamatia, eeish
Mnashindwa hata 15 ya guest house? So sad! Tubadilike jamani tunatiana aibu na wewe dada kama huyo anakufanya hivyo jua anakudhalilisha sana.
Mmh sawa kakaKulipia ni ufahar, kila day kila siku mtu alipie. Mkikutana pazur inaingia tu huku mnakuwa makn tena mapenz ya hivo matamu sana kama kuiba mtt wa get kali unamgongea kwao nyuma ya nyumba
Sent using Jamii Forums mobile app