Mapenzi ya Uturuki yana faida kwa nchi??

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,607
8,744
Viongozi wetu wamekuwa wakialikwa Uturuki kila siku, Raisi wa Zanzibar amerudi wiki iliyopita tu kutoka Uturuki na Makamu wa raisi alikuwa anasubiri ndege irudi na yeye kuchukua ndege kwenda Uturuki je ni kitu gani cha kimaendeleo ambacho hawa marafikizetu wameshidwa kumwambia raisi wa zanzibar mpaka makamu anende ndani ya wiki moja tu!. Kuna mambo gani ya maendeleo yanaletwa na hawa jamaa na kama ni urafiki tu basi tuwe makini kusafiri kila siku!!!. Ninge penda kama ni kwenda kuongea na wafanya biashara lakini kama ni kupiga porojo za mapenzi hakuna sababu ya msingi ya kuwa na safari mbili za uturuki kwenye wiki moja!!!!
 
Raıs wa Zanzıbar alıkuwa Uturukı kwa mwalıko wa nchı hıyo na Makamu wa Raıs ameenda kumwakılısha Raıs katıka mkutano wa Umoja wa Mataıfa unaohusu Maendeleo ya Nchı Maskını. Kazı hızı mbılı hazına uhusıano wowote japokuwa zınafanywa na vıongozı kutoka Tanzanıa.
 
Sijui wamegundua nini kwa huyu sick man of Europe.....wanaenda kulishwa kashata tu huko hamna lolote.
 
Viongozi wetu wamekuwa wakialikwa Uturuki kila siku, Raisi wa Zanzibar amerudi wiki iliyopita tu kutoka Uturuki na Makamu wa raisi alikuwa anasubiri ndege irudi na yeye kuchukua ndege kwenda Uturuki je ni kitu gani cha kimaendeleo ambacho hawa marafikizetu wameshidwa kumwambia raisi wa zanzibar mpaka makamu anende ndani ya wiki moja tu!. Kuna mambo gani ya maendeleo yanaletwa na hawa jamaa na kama ni urafiki tu basi tuwe makini kusafiri kila siku!!!. Ninge penda kama ni kwenda kuongea na wafanya biashara lakini kama ni kupiga porojo za mapenzi hakuna sababu ya msingi ya kuwa na safari mbili za uturuki kwenye wiki moja!!!!

huko ndiko hufanyika vikao vya OIC na Kadhi.
 
Sijui wamegundua nini kwa huyu sick man of Europe.....wanaenda kulishwa kashata tu huko hamna lolote.
Kwa taarifa yako uchumi wa Uturuki unafanya vizuri zaidi ya nchi nyingi wanachama wa EU na Ugiriki ilipewa mkopo wa mabilioni na uturuki baada ya uchumi wao kuporomoka licha ya kutokua marafiki,Uturuki walisema kwakuwa ugiriki ni jirani kuporomoka kwake kutawaathiri.Jaribu kufatilia habari.
 
Investors sio hao bwana, jk alipata misaada wa fedha baada ya uchaguzi na ndio wanaingia. Lazima Turkey ina-interest on something in Tanzania...time will tell na siri tutaijua tu. Ukiwa nchi maskini unakuwa hopeless na baggers kwa kila nchi dunia na wantu-pimp ile mbaya. Ukimuuliza jk atakuwambia yeye anahaki ya kukopa anapotaka au uhusiano na nchi yeyote bila majadiliano bungeni au dialog na wananchi, yeye ni raisi mtukufu.

"I think ccm failed policies is threat to security of our country"
 
OTTOMAN-ZANZIBARI RELATIONS




Abdul Hamid II 1876-1909
Sultan of the Ottoman Empire

The Sultanate of Zanzibar was one of the sultanates with which the Ottoman Empire established great relations in the African continent in the 19th century. The Ottoman archives have a number of records in this regard. Another demonstration of the close relations between Ottoman Empire and the Zanzibari Sultanate is that during the Friday sermons in Zanzibar, Sultan Abdulhamid II's name used to be alluded to. Sultan Abdulhamid II appointed Emin Efendi as envoy to Zanzibar in 1878 in order to boost the bilateral relations. As an indication of the good level of these relations between the two countries, Sultan Sayyid Ali Said paid an official visit to the Ottoman Empire in 1907.


Sayyid Ali bin Hamud Al-Busaid (June 7, 1884 - December 20, 1918) (Arabic: علي بن حمود البوسعيد‎) was the eighth Sultan of Zanzibar. Ali ruled Zanzibar from July 20, 1902 to December 9, 1911, having succeeded to the throne of the death of his father, the seventh Sultan. He served only briefly as sultan because of illness. In 1911 he abdicated in favour of his brother-in-law Sayyid Khalifa bin Harub Al-Busaid.[

Sources:
- Presidency Of The Republic Of Turkey : ?Turkey has historic, cultural and spiritual bonds with Africa?
- Ali bin Hamud of Zanzibar - Wikipedia, the free encyclopedia


More about the interest:

The Understanding of relationship:
The history of the formal relation between the Zanzibar Sultanate and the Ottoman Empire began during the 1887-1878 Ottomna - Russian wars, and wanted to established certain relations with the Muslim people all over the world.

Abdulhamid II (1876-1908) had at the begining wanted to get in touch with the Muslims who lived in Russia. Moreover, the Muslim people who were under colonial powers in India (Ref235) and Africa (Ref 239) were also included in this network.

The term Pan-Islamism might be introduced here as a keyword to describe the activities of Abdulhamid II all over the world....
(This is part of the Thesis submitted to the Institute of Social Sciences- Master of Arts in History by Hatice Babavatan, BA in History, Bogazici University)

For further reading of the thesis above please visit the link below:
The Understanding of
 
Kwa taarifa yako uchumi wa Uturuki unafanya vizuri zaidi ya nchi nyingi wanachama wa EU na Ugiriki ilipewa mkopo wa mabilioni na uturuki baada ya uchumi wao kuporomoka licha ya kutokua marafiki,Uturuki walisema kwakuwa ugiriki ni jirani kuporomoka kwake kutawaathiri.Jaribu kufatilia habari.


Kwa hiyo na viongozi wetu wanaenda kuomba mkopo kwa sababu Ugiriki kapewa mkopo...akili nyingine bana!
 
Back
Top Bottom