Bin Shaib
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,315
- 1,186
- Thread starter
- #21
Wasema kweli hawapo?Sijasoma hiyo habari yako lakini mi najua mapenzi ni uongo tu.
Sio kwamba anajilinda Mkuu?Kama ni bikra mpaka sasa yupo sahihi..ila kama sio basi kuna mshkaji anachukua point za kiungo mchezeshaji. Huku wewe ukibakia kiungo mtazamaji na muhudumiaji
Hapana sio kihivo mi hata nikimla sio mwisho wa mapenzi yetu, japo sikutaka kuweka moyo wangu wote kwake isije akawa hanipendi halafu aondoke nao niachiwe mabua.
Ni mpenzi, sema jamaa anataka kukula asepe! Binti ana msimamo! Nimempenda bure
Kiuanaume bila kuweka sahihi angalau mara moja huwezi mwita mpenzi huyo ni dada yake
Najielewa mkuuUshaambiwa ‘atakwambia’ bado unatuuliza utajuaje?
Jibu kwanza swali la Suriya hapo juu kuhusu elimu yako.
Chukua bongo wasio na tabia za kibongo
Hakuna shida mazeeYeye mbona anachezea hela zako na zawadi zako na hajakuacha??
Na wew mwambie akupe utafanya kam anachofny kweny mali zako,ukiona mgumu nipe namba zake niongee nae kistaarabu lazima ataelewa tu mzeebab
Sent using Jamii Forums mobile app
Toa sababu ya wanaume kupunguaWanaume tumepungua sana
GOD is GOOD
Mwanga gani?Mapenzi upofu ila leo at least mwanga umeanza kupenya machoni mwako,