Mapenzi ya udanganyifu ndio mapenzi yanayodumu

Mapenzi ya udanganyifu ndio mapenzi yanayodumu

yuda75

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2020
Posts
520
Reaction score
1,403
Mapenzi mazuri lazima mwanaume uwe na kamba kamba ujanja janjaa mana kwa hali ya sasa ukiwaweka wazi dada zetu kwa kila kituu ataishia kupiga punyeto

Lazima ujitutumue kama mwanaume uwe unachaneli za kweli au za kijanja janjaa hata ukilala njaa mpenzi akikuliza umekula nini mwambie kuku nusu na ugali akikuliza baby uko wapi unafungulia redio kwanguvu mwambie upo sehemu unapata soda maji au mvinyo ila soon.

Narudi ili asitake kujaaa

Mapenzi ujanja tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom