kakamukubwa
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 203
- 27
Mapenzi ya siku hizi ni ya kutamaniana,kutumiana,kufilisiana,kukwanguana na kubwagana,na si ya kupendana kwa dhati,si ya kusaidiana na kulipeleka gurudumu hili la maisha mbele.
Kwanini Mambo Yamekuwa hv..
Kwanini Mambo Yamekuwa hv..