Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Nimeona, hasa miaka ya karibuni...
Wazazi wengi.. hasa wenye ukwasi... wanajitahidi kuwapa mazingira 'bora' watoto wao... watawafanyia kila kitu kiasi kwamba mtoto anakua kila kazi ya mikono anafanyiwa, shule ana gari la kumpeleka, chapaa ndo usiseme. akirudi nyumbani, kila kazi afanyiwa na shambaboi, hausigeli au ahata ndugu zake(binamu,wapwa n.k)!!!
Hapewi hata mara moja nafasi afanye mambo yatakayomfanya asiwe tegemezi ana aweze kusimama pekee..
Mwisho wa yote... mtoto anatia aibu ukubwani!! Uongo?!:smile:
Wazazi wengi.. hasa wenye ukwasi... wanajitahidi kuwapa mazingira 'bora' watoto wao... watawafanyia kila kitu kiasi kwamba mtoto anakua kila kazi ya mikono anafanyiwa, shule ana gari la kumpeleka, chapaa ndo usiseme. akirudi nyumbani, kila kazi afanyiwa na shambaboi, hausigeli au ahata ndugu zake(binamu,wapwa n.k)!!!
Hapewi hata mara moja nafasi afanye mambo yatakayomfanya asiwe tegemezi ana aweze kusimama pekee..
Mwisho wa yote... mtoto anatia aibu ukubwani!! Uongo?!:smile: